pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Eti michezo? Hii hii Tanzania??? Chunga sana usije ukatafuna blanketi zote na godoro, hii ndoto yako ni nzito sana buana!Mfyuuuuu...aisee sjaona watu wajuaj dunian kama RAIA wa kenya, kwanza hawajui kusifia wao ni kuponda tuu,na ndo maana tunawaburuza kila idara kwenye mziki ,michezo nk...