Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven kuachia madaraka Mei 2016

Mchuja Nafaka G

JF-Expert Member
Oct 1, 2014
763
253
Utawala wa Rais Yoeri Kaguta Museven ulioshuhudia marais wa Tanzania Alhaj Ally Hassan Mwinyi, Benjamini William Mkapa na sasa Jakaya Mrisho Kikwete akielekea kukabidhi lakini yeye angali yupo madarakani. Utawala wake utakoma ifikapo tarhe 12 Mei 2016 kulingana na taratibu walizojiwekea.

Majirani zetu wengine Burundi hali ni tete inapofika suala la kubadilisha utawala, ukienda Rwanda nako hajui nini kitatokea kutokana na ung'ang'anizi wa madaraka. Mungu pekee anajua nini kitatokea mwakani nchini UGANDA ikiwa Museven atapingana na utaratibu.
 
Yeye ameishasema kuwa 2016anagombea tena alitaka kumwachia mwanae wakampigia kelele akaamua aendelee yeye mwenyewe.
HIZI NDIZO ATHARI ZA DHAMBI YA UBAGUZI!
Kabila lake haliwezi kumruhusu aachie madaraka, na Rwanda haiwezi kumruhusu aachie madaraka!
 
Madaraka, Tamaa, Ulafi hupelekea UDIKTETA !!!!

Heshima kwa WaTanaznia !!!
Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
 
Hatutaki urais wa kurithishana hapa! Kila mwenye uwezo aongoze nchi.
 
Back
Top Bottom