SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,337
- 4,664
Kila kitu chenu, ni ushetani tu, kuanzia kuabudu masanamu mpaka ku!awitiana na mapadri na maaskofu, kuharibu watoto wadogo ndani ya kanisa katoliki mpaka Umoja wa Mataifa unapiga kelele, unabisha nini wewe?
Unabisha hakuna ushoga ndani ya kanisa katoliki?
Waacheni kuteteana maovu, nafsi zenu haziwasuti?
Inasikitisha sana tena sana. Hiyo ni laana ya Mungu.
Ni kweli sisi tunajitambua kuwa tu wadhambi na ndio maana kila wakati tunaikimbilia huruma ya Mungu.