Rais wa Ufilipino Durterte amelitaka Kanisa Katoliki kuruhusu Mapadri wake waolewe au wawe na Wanaume maana wengi ni mashoga

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,289
16,973
Rais wa Ufilipino amelitaka kanisa katoliki nchini Italy kuruhusu mapadri wake kote ulimwenguni waruhhsiwe kutafta wanaume wa kuwaoa maana wengi ni mashoga hvyo wanapswa kua na wanaume.

Soma mwenyewe hapa toka RT News.
‘Most of them are gay’: Duterte urges Vatican to allow its ‘useless’ priests to have boyfriends

Mwezi uliopita Durteete alisema 90% ya mapadri wote Duniani ni mashoga akamtaka papa aruhusu mapadri wawe huru kua na wanaume wao maana kujificha au kuficha tatizo ndio kunachangia zaidi ushoga kwa mapadri.
Duterte: Almost 90% of Catholic priests are homosexuals
 
Waktoliki huwa hatuna muda wa kubishana na dini ambazo zimeacha kuhubiri injili na msahafu zinashindana kulitukana kanisa katoliki,mahubiri na mafundisho yao ni dhidi ya kanisa katoliki.PETRO WEWE NI MWAMBA NA JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA LANGU NA HALITATIKISIKA MILELE DAIMA......Nyie waislamu na wapumbavu wengine endeleeni kupambana na kanisa katoliki SISI KANISA MOJA KATOLIKI TAKATIFU LA MITUME tunaihubiri injili ya bwana Yesu.
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom