Rais wa TLS, Tundu Lissu alitaka Jeshi la Polisi kufanya kazi kwa kufuata sheria na siyo siasa

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,491
54,884
Rais wa TLS Mhe Tundu Lissu alitaka Jeshi la Polisi kufanya kazi kwa kufuata sheria na siyo siasa.

Rais wa Chama cha wanasheria Tanzania (TLS) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mheshimiwa Tundu Lissu amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Ikungi na kuwataka polisi kuacha kutekeleza maagizo ya baadhi ya viongozi wa siasa kutoa amri ya maneno ya kuwa kamata watu bila ya kuwa na kibali halisi.

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya kati Bi.Aisha Luja amemuomba Mheshimiwa Tundu Lisu kundelea kusimamia mikataba ya madini ambayo imekuwa ikitekelezwa kisiasa na kunyimwa kwa uhuru wa vyombo vya habari,huku Mbunge wa Kilombero Mheshimiwa Peter Ambrosi Jualikali akiwataka wananchi wa Jimbo la Singida Mshariki kumtumia vizuri mbunge wao Tundu Lisu.

Mheshimia Tundu Lisu baada ya kufika katika mkutano huo akiwa na badhi ya wabunge wa CHADEMA,uliohudhuriwa na wananchi wengi kutoka katika vitongoji vya Jimbo la Singida mashariki alivishwa mavazi ya asili ikiwa ni ishara ya shujaa

Chanzo: ITV
 
Ngoja nitumie nafasi hii kumpa pole kutokana vifo vya wapiga kura wake wawili waliouliwa na Tembo.

Kisha aendelee kutupigania lakini atumie ubobezi wake wa sheria kuhakikisha nchi inaondokana na dhuluma za hawa wawekezaji
 
Hana uwezo wakutetea maslahi ya taifa nae ni mwiz tu huyu lisu.ukiona anaongea kitu jua anamaslahi nacho.ndo maana anapinga hata mazuri.baada ya kutoa mwanga kwetu anatutia hofu eti tutashitakiwa?
 
Rais wa Chama cha wanasheria Tanzania (TLS) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mheshimiwa Tundu Lissu amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Ikungi na kuwataka polisi kuacha kutekeleza maagizo ya baadhi ya viongozi wa siasa kutoa amri ya maneno ya kuwa kamata watu bila ya kuwa na kibali halisi.

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya kati Bi.Aisha Luja amemuomba Mheshimiwa Tundu Lisu kundelea kusimamia mikataba ya madini ambayo imekuwa ikitekelezwa kisiasa na kunyimwa kwa uhuru wa vyombo vya habari,huku Mbunge wa Kilombero Mheshimiwa Peter Ambrosi Jualikali akiwataka wananchi wa Jimbo la Singida Mshariki kumtumia vizuri mbunge wao Tundu Lisu.

Mheshimia Tundu Lisu baada ya kufika katika mkutano huo akiwa na badhi ya wabunge wa CHADEMA,uliohudhuriwa na wananchi wengi kutoka katika vitongoji vya Jimbo la Singida mashariki alivishwa mavazi ya asili ikiwa ni ishara ya shujaa

Chanzo: ITV
 
CCM wtu wa ajabu kweli. Eti leo wanasema Lissu ndiye aliyesababisha sisi tuibiwe kwenye madini. Kweli sisi tumelogwa. Yeye alishauri turekebishe sheria ya madini ili hawa ndugu wasitushtaki. Halafu jamani, nchi yenye vyombo vya dola, usalama wa taifa, n.k. inakuwaje likampuni likubwa kama ACACIA lichimbe madini miaka yote hiyo bila kuwa na kibali cha kuingia nchini? Uhamiaji wanasemaje juu ya hilo?
 
Rais wa TLS Mhe Tundu Lissu alitaka Jeshi la Polisi kufanya kazi kwa kufuata sheria na siyo siasa.

Rais wa Chama cha wanasheria Tanzania (TLS) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mheshimiwa Tundu Lissu amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Ikungi na kuwataka polisi kuacha kutekeleza maagizo ya baadhi ya viongozi wa siasa kutoa amri ya maneno ya kuwa kamata watu bila ya kuwa na kibali halisi.

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya kati Bi.Aisha Luja amemuomba Mheshimiwa Tundu Lisu kundelea kusimamia mikataba ya madini ambayo imekuwa ikitekelezwa kisiasa na kunyimwa kwa uhuru wa vyombo vya habari,huku Mbunge wa Kilombero Mheshimiwa Peter Ambrosi Jualikali akiwataka wananchi wa Jimbo la Singida Mshariki kumtumia vizuri mbunge wao Tundu Lisu.

Mheshimia Tundu Lisu baada ya kufika katika mkutano huo akiwa na badhi ya wabunge wa CHADEMA,uliohudhuriwa na wananchi wengi kutoka katika vitongoji vya Jimbo la Singida mashariki alivishwa mavazi ya asili ikiwa ni ishara ya shujaa

Chanzo: ITV
Mungu mbariki Tundu Lissu .
 
Back
Top Bottom