lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Umeandika kitu cha msingi sana. Sote kuna tunapotaka kuwa lakini kila mmoja anadhani njia yake ndio sahihi wakati tukishirikiana mawazo tutafika huko bila lawama au 'kuvutana mikia'!Tatizo ni uandishi au Tatizo ni nini mkuu? Sijakuelewa aisee, unaweza kunisahihisha pia