Rais wa TFF, Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu Celestine Mwesigwa washikiliwa na TAKUKURU

Tatizo ni uandishi au Tatizo ni nini mkuu? Sijakuelewa aisee, unaweza kunisahihisha pia
Umeandika kitu cha msingi sana. Sote kuna tunapotaka kuwa lakini kila mmoja anadhani njia yake ndio sahihi wakati tukishirikiana mawazo tutafika huko bila lawama au 'kuvutana mikia'!
 
A

Anaitwa Ally Mayai Tembele
Hivi yupo TRA au Wizara ya Viwanda na Biashara kama Afisa Masoko(?)
Ngoja watakuja kutusahihisha mkuu,tusubiri wenye uhakika
Mkuu barafu,Ally Mayai Tembele na mgombea aliyeko TRA ni watu wawili tofauti.
 
Mkuu barafu,Ally Mayai Tembele na mgombea aliyeko TRA ni watu wawili tofauti.
Nieleweshe mkuu wangu
Huyu Ally Mayai Tembele si ndiyo yule ukiwa nyumbani unatazama Azam Sports Xtra anafanyq uchambuzi wa habari za michezo?
Na si ndio huyu huitwa Ally Mayai?Aliyepata kuchezea Yanga na timu ya Taifa?Na husemwa kuwa ni mtumishi wa Wizara niliyotaja?
Je huyo wa TRA ni nani??nisaidie tafadhari
 
Nieleweshe mkuu wangu
Huyu Ally Mayai Tembele si ndiyo yule ukiwa nyumbani unatazama Azam Sports Xtra anafanyq uchambuzi wa habari za michezo?
Na si ndio huyu huitwa Ally Mayai?Aliyepata kuchezea Yanga na timu ya Taifa?Na husemwa kuwa ni mtumishi wa Wizara niliyotaja?
Je huyo wa TRA ni nani??nisaidie tafadhari
Yes, maelezo yako hayo yanamhusu Ally Tembele. Huyo wa TRA sina kumbukumbu ya jina lake, lakini niliona kwenye media baada ya kuchukua fomu walimtambulisha kama mfanyakazi wa TRA. Ana mwili sio kibaumbau kama Ally Tembele. Ukifuatilia hata google unaweza kupata jina lake
 
Shule sio kigezo.
1. Sep Blatter hakuwa na shule
2. Uongozi ni jinsi unavyo endesha Taasisi unayoiongoza huku ukiwa na dhamira ya kweli moyoni wala sinkwa mtazamo wa kujinufaisha binafsi.
3. Mbona kule sifa ni kusoma na kuandika na bado watu wanaongoza!!
4. Ally Mayai anafaa sana kwa sababu, secretariet ndio mtendaji, yeye anakuwa ni figure tu.

Tena kwa huyo ndo secretariat watapiga balaa yeye hajui, mwisho wa siku Rais unawajibika....
 
Nchi hii sometime unaweza kushindwa kuelewa wakati wa kuwa serious au wakati wa kutimiza 'melengo' fulani fulani. Sio ajabu ukasikia kuwa alijenga uwanja wa golf kijijini kwake kwa pesa za tff!
Mkuu huo uwanja umejengwa huko kijijini?
 
Screen-Shot-2017-06-28-at-1.54.59-PM-660x400.png



Baada ya habari kuenea katika mitandao ya kijamii kuhusiana na katibu Mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa na Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Jamal Malinzi wamekamatwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU, uthibitisho umetolewa kutoka ofisi ya TAKUKURU kitengo cha mahusiano.

Afisa mahusiano wa TAKUKURU Musa Misalaba ameongea na waandishi wa habari na kuthibitisha kukamatwa kwa Rais wa TFF Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa lakini hawajataja sababu za kuwashikilia.

 
Hzo zote ni dhana ndg. We umeona kuna ubaya gani kuhamisha ofisi za shirikisho? Matokeo yapi yaliyopangwa? Kushuka kwa viwango vya stars ni suala la ufundi, ndio maana wameona njia bora ya kunusuru soka letu ni kuwekeza kwa vijana kama walivyofanya wenzetu mataifa yaliyoendelea. Ubaguzi wa kikabila hata me sikubaliani naye, japo ipo hvyo taasisi nyingi tu duniani. Kuhusu ubadhirifu, siwezi kusema chochote maana me sijaona ushahidi wowote wa kudhihirisha hayo. Jambo lingine muhimu ni kujua kuwa maamuzi ya raisi wa shirikisho ktk mambo ya ufundi sio wa mwisho. Kuna kamati ya utendaji na sekretarieti yake ambazo zinafanya kazi nyingi sana kwa pamoja.

1.TBL baada ya kufanya ukaguzi ubadhirifu ulionekana wazi wazi ndio wakaamua mkataba ulivyoisha wakagoma kuongeza
2.Unajua gharama za kupanga ofisi PPF Tower kwa mwezi ukilinganisha na kukaa kwenye ofisi zao bure pale Karume ?
3.Stars kushuka viwango ni ufundi,Nani anaajiri makocha wa TFF ? Kwa nini alivyoingia alimfukuza kazi Poulsen na kumlipa karibia mil 200 na akaajiri makocha wabovu zaidi na baadae kamrudisha timu ya vijana

Nilishasema tangu mwanzo tuhuma unazifahamu lakini unajifanya huzifahamu,endelea kumpigia kampeni
 
TAKUKURU wamechukua simu zao zote!!

Na hapo ndipo ' watakapoumbuka ' hasa kwa Jamal Malinzi ambaye hupenda mno kucheza michezo yake ya ' hatari ' kwa kutumia Simu. Mfano hai ni zile Simu zake alizokuwa akiwasiliana wakati wa ile mechi ya Geita FC ambapo ' mawasilino ' yake yalinaswa achilia mbali zile ' sms ' zake akitoa maelekezo ya ' matokeo ' pamoja na ' Maswahiba ' zake akina ' Matandika '. Huko katika hiyo Simu yake nina uhakika 100% PCCB watayakuta na mengineyo mengi tu.

Ally Mayai na Mzee wangu Mtemi Ramadhan haya sasa Majengo ya Karume yanawasubirini nyie tu mkatuongozee mpira wetu tafadhali.
 
Nasubiri reaction ya FIFA juu ya hiyo move ya takukuru kuingilia vyama vya hiari!! Sijui nani mshitaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom