Rais wa TFF, Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu Celestine Mwesigwa washikiliwa na TAKUKURU

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Jamal Malinzi amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini(TAKUKURU) akiwa katika harakati za kutembeza Mlungula.

Hatimae "Danganya Toto" ya Malinzi sasa imefikia kikomo.

Taarifa zaidi, zitakujia kupitia Uzi huu...
Sidhani kama utafanikiwa! Tafuta ushetani mwingine
 
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Jamal Malinzi amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini(TAKUKURU) akiwa katika harakati za kutembeza Mlungula.

Hatimae "Danganya Toto" ya Malinzi sasa imefikia kikomo.

Taarifa zaidi, zitakujia kupitia Uzi huu...
Rushwa ndiyo kikwazo cha ufumbuzi wa matatizo ya nchi hii.Sasa waza hivi akishapata uongozi si lazima afanye mbinu ya kurudisha hela yake?.Kwa mfano huo wabunge wengi si wachache,wengi wa chama tawala wameingia kwa njia hizo.Ndiyo maana wamekuwa wanashabikia na kupitisha sumu kwa taifa.
 
Shule sio kigezo.
1. Sep Blatter hakuwa na shule
2. Uongozi ni jinsi unavyo endesha Taasisi unayoiongoza huku ukiwa na dhamira ya kweli moyoni wala sinkwa mtazamo wa kujinufaisha binafsi.
3. Mbona kule sifa ni kusoma na kuandika na bado watu wanaongoza!!
4. Ally Mayai anafaa sana kwa sababu, secretariet ndio mtendaji, yeye anakuwa ni figure tu.
Kama ni figure tu basi awekwe joti au mhogo mchungu
 
Shule sio kigezo.
1. Sep Blatter hakuwa na shule
2. Uongozi ni jinsi unavyo endesha Taasisi unayoiongoza huku ukiwa na dhamira ya kweli moyoni wala sinkwa mtazamo wa kujinufaisha binafsi.
3. Mbona kule sifa ni kusoma na kuandika na bado watu wanaongoza!!
4. Ally Mayai anafaa sana kwa sababu, secretariet ndio mtendaji, yeye anakuwa ni figure tu.
Weee! Sepp Blatter is a qualified lawyer acha kudanganya, sema tu elimu kubwa sio kigezo cha mtu kuwa kiongozi mzuri, period.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom