Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,638
- 11,983
Unafikri Mayayi hajasoma? Katafute taarifa zake sahihi!Tatizo shule zao ndogo mno
Unafikri Mayayi hajasoma? Katafute taarifa zake sahihi!Tatizo shule zao ndogo mno
Shule ya nani ndogo?Tatizo shule zao ndogo mno
Fungwa weweKama ni kweli afungwe,uyu mzee katuharibia soka letu.
Sidhani kama utafanikiwa! Tafuta ushetani mwingineRais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Jamal Malinzi amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini(TAKUKURU) akiwa katika harakati za kutembeza Mlungula.
Hatimae "Danganya Toto" ya Malinzi sasa imefikia kikomo.
Taarifa zaidi, zitakujia kupitia Uzi huu...
Rushwa ndiyo kikwazo cha ufumbuzi wa matatizo ya nchi hii.Sasa waza hivi akishapata uongozi si lazima afanye mbinu ya kurudisha hela yake?.Kwa mfano huo wabunge wengi si wachache,wengi wa chama tawala wameingia kwa njia hizo.Ndiyo maana wamekuwa wanashabikia na kupitisha sumu kwa taifa.Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Jamal Malinzi amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini(TAKUKURU) akiwa katika harakati za kutembeza Mlungula.
Hatimae "Danganya Toto" ya Malinzi sasa imefikia kikomo.
Taarifa zaidi, zitakujia kupitia Uzi huu...
Kama ni figure tu basi awekwe joti au mhogo mchunguShule sio kigezo.
1. Sep Blatter hakuwa na shule
2. Uongozi ni jinsi unavyo endesha Taasisi unayoiongoza huku ukiwa na dhamira ya kweli moyoni wala sinkwa mtazamo wa kujinufaisha binafsi.
3. Mbona kule sifa ni kusoma na kuandika na bado watu wanaongoza!!
4. Ally Mayai anafaa sana kwa sababu, secretariet ndio mtendaji, yeye anakuwa ni figure tu.
Weee! Sepp Blatter is a qualified lawyer acha kudanganya, sema tu elimu kubwa sio kigezo cha mtu kuwa kiongozi mzuri, period.Shule sio kigezo.
1. Sep Blatter hakuwa na shule
2. Uongozi ni jinsi unavyo endesha Taasisi unayoiongoza huku ukiwa na dhamira ya kweli moyoni wala sinkwa mtazamo wa kujinufaisha binafsi.
3. Mbona kule sifa ni kusoma na kuandika na bado watu wanaongoza!!
4. Ally Mayai anafaa sana kwa sababu, secretariet ndio mtendaji, yeye anakuwa ni figure tu.
Kuna Dola za FIFA na huwa hazina hesabu.......Hivi huko TFF kuna hela sana?
With reasons; 1.He is prudent*Ally Mayai Tembele for President*
Huwamini,baki hapo hapoSidhani kama utafanikiwa! Tafuta ushetani mwingine
Unadhani kupelekwa polisi ndio umemaliza! No!Huwamini,baki hapo hapo
Hahahahaaaa. Shemeji upo kimya sana. Mbona dada yako namtunza vizuri tu au unaona nafaidi sana??Huu ni muhula wa mapapa ya Kihaya kuishia jela
ndyoko unajiteteaHahahahaaaa. Shemeji upo kimya sana. Mbona dada yako namtunza vizuri tu au unaona nafaidi sana??