KAYABOMBICHI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 296
- 142
Akiongea na kituo cha clouds fm kipindi cha michezo usiku huu ktk kusheherekea miaka miwili ya uongozi wake hapo Tff bwana karia amemshukuru Raisi Magufuli kwa uteuzi huo kwani umeimarisha sekta ya michezo nchni