Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Askofu Nyaisonga kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) asema wanatambua Dunia nzima inahangaika kupambana na maradhi ya #COVID19 yanayosabishwa na #VirusiVyaCorona
Awahimiza Watanzania kutokuwa watumwa wa hofu na kuchukua tahadhari. Asema ni wajibu wa kila mtu kuufuata ukweli na ushauri wa Wataalamu wa Afya
Amefafanua kuwa ushauri huo ni kunawa mikono mara kwa mara, kutokugusana au kutosalimia kwa mikono na kuepuka misongamano