Rais wa TCCIA Ndibalema Mayanja atembelea benki ya NMB

RAHA KAMILI

JF-Expert Member
Dec 5, 2014
203
83






Rais wa TCCIA Ndibalema Mayanja akibadilishana nyaraka na Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bi Eneker wakati Rais wa TCCIA na ujumbe wake ulipofanya ziara kwenye bank ya NMB. Ziara hiyo yenye lengo la kukuza uhusiano na fursa za biashara kati ya NMB na TCCIA iliwashirikisha pia Makamu wa Rais wa TCCIA Viwanda Octavian Mshiu, Kaimu Mkurugenzi wa TCCIA Bw Muganda na Mshauri wa TCCIA Masoko na Biashara Imani Kajula.

 
Back
Top Bottom