Tuliokuwepo enzi za Komandoo tunamkumbuka Mkapa kwenye hii ishu. Komandoo alikuwa na visa, mara aiunge Zenj kwenye jumuia ya nchi za kiarabu, mara atume wazee kumtishia kuvunja muungano kama hataruhusiwa kubadili katiba apate muhula wa 3, etc. Mkapa alisimama kidete, komandoo ikabidi akubali yaishe. Ingekuwa enzi ya JK, mmmmh 🙄.Mkapa on presidential term-limits
Watanzania wakimsifia Mkapa kwa mengi, wakubali na maneno yake kuhusu viongozi kuheshinu term limits.
Yule aliyestaafu ni mstaafu. CDF ni mmoja tu. Ni sawa a leo hatusemi raisi, bali raisi mstaafu kafariki 😜.Kuna Mabeyo wa Sasa na yule aliyestafu wa Mbeya
Kumbe unajua kwamba huko inabidi tuombeane ili tupumzike kwenye peace
Watu wanasema Nyerere haambiliki, lakini Mkapa kwenye msimamo akishaamua kitu alikuwa mbishi kuliko Nyerere, halafu anakubishia wakati kashasoma Bluebooks zote ana facts na figures na historia ya Tanzania tangu akiwa Editor wa Standard.Tuliokuwepo enzi za Komandoo tunamkumbuka Mkapa kwenye hii ishu. Komandoo alikuwa na visa, mara aiunge Zenj kwenye jumuia ya nchi za kiarabu, mara atume wazee kumtishia kuvunja muungano kama hataruhusiwa kubadili katiba apate muhula wa 3, etc. Mkapa alisimama kidete, komandoo ikabidi akubali yaishe. Ingekuwa enzi ya JK, mmmmh 🙄.
Maisha ni kuendeleza mazuri na kuacha mabaya. Kama umesoma vizuri post yangu, niliandika kuwa "tutamkumbuka sana" kwa mazuri yake, sikusema kuwa "tutamkumbuka kwa mazuri yake tu". Sijui kama umenielewaKwanini tusimkumbuke pia na kwa mabaya yake ili ku balance?
Hayo uliyosema ni sahihi lakini siyo kutumia kifo chake kama uwanja wa kufanyia siasa za korona. Watu wote tumezaliwa siku moja na tutakufa siku moja; wengine hufa bila kuugua kabisa (Baba yangu alifariki ghafla bila kuugua chochote na wala hakukua na korona).Mkubwa , huwezi kumtenga Mkapa na Siasa. Mshtuko ulioikumba jamii ni kutokana na haiba yake kisiasa. Leo kuna mamia ya watu wametangulia mbele ya haki, kwanini haiujulikani! si wanasiasa kama Mkapa.
2. Bendera zitapepea nusu mlingoti kwasababu mwanasiasa kafariki, si wananchi wengi waliofariki jana na leo.
3. Kwaviletumevunja utamaduni wa facts, zipi unataka watu wasubiri? Watu watasema kwavile tumevunja trust inayotoa facts. Watu hawaamini tena kinachosemwa!
Tuyajue mazuri yake ili tuyaige, Na tuyajue mabaya yake ili tuyaepuke.Maisha ni kuendeleza mazuri na kuacha mabaya. Kama umesoma vizuri post yangu, niliandika kuwa "tutamkumbuka sana" kwa mazuri yake, sikusema kuwa "tutamkumbuka kwa mazuri yake tu". Sijui kama umenielewa
Sijui nini usichoelewa ndugu yangu; sijasema asikumbukwe kwa mabaya yake bali nimesema kuwa akumbukwe sana kwa mazuri yake ,ingawa mabaya yake yatakumbukwa pia. Historia haiwezi kufutika.Tuyajue mazuri yake ili tuyaige, Na tuyajue mabaya yake ili tuyaepuke.