mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,560
- 9,791
Hili ni pengo kubwa sana kwa Taifa letu. Hakika MOLA wetu ndiye alitoa, na pia ndiye ambaye amemtwa mja wake. Jina lake BWANA na likapate kuhimidiwa. Amen Pole nyingi sana kwa familia yake, na pole nyingi pia kwa Watanzania wote ambao wanaguswa na msiba huu mzito.