Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Wasichokijua Wazanzibari kwa sasa ni kuwa wana serikali ambayo haitambuliwi na KATIBA ya JMT. Kama ni halali au sio hilo nawaachia akina Lissu.
Ndugu yangu una uhakika kuwa SMZ haijatajwa katika katiba ya JMT? Tunaomba utujuze au kama hujui tuambia tukujuze SMZ imetajwa wapi na hadhi yake ndani ya muungano?