BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Bullet proof isikutisheYaani mama kanenepa balaa..lakini kuna wengine wakiwa na stress wananenepa
Bullet proof isikutisheYaani mama kanenepa balaa..lakini kuna wengine wakiwa na stress wananenepa
Ukimaanisha nini hapa mkuuBullet proof isikutishe
Kuna jirani yangu kila siku anasikiliza hutuba za hayati maguUsi waze kuhusu hawa wachumia tumbo makelele yao na hasira za hovyo zinaishiaga humuhumu.
Huko nje mitaani Magufuli ana heshimika na mamilioni kwa uwazi bila kificho.
Hawa wanajaribu kumchafua humu ila hawanauwezo wakupaza sautizao nje ya mitandaokusema maneno yahovyo kiasihicho wanajuwa kitakacho tokea kwa wananchi.
Hataivyo tangu siku Mama alivyosema yeye na Magu ni kitukimoja wana lala na viatu mbaka leo.
Mimi mwenyewe nataka niziweke kwenye memory yangu niwe namsikikiza.Kuna jirani yangu kila siku anasikiliza hutuba za hayati magu
Mda huu nasikia sauti ya JPM akiwa kimamba.Mimi mwenyewe nataka niziweke kwenye memory yangu niwe namsikikiza.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Usikilize matusi mkuu?Mimi mwenyewe nataka niziweke kwenye memory yangu niwe namsikikiza.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Mama ana siri nzito mateso manyanyaso anayajua yeye na Paroko acgeni tu msiojua miaka 10 mwisho ....Mama ameputa yapi acheni kabisa Mungu anajua kulipa machozi yavwamama.....acha ajifariji na watoto wake alikimbia nyumba huyo ....kuwekwa mke mwenza na mdogo wake ni dogo hilo ? Bado menhine acheni tuuu mwamba mtemi haswaa Kebbys salam kwenu banaaaYaani mama kanenepa balaa..lakini kuna wengine wakiwa na stress wananenepa
Ila kuna familia kama zina laana.jamaniMama ana siri nzito mateso manyanyaso anayajua yeye na Paroko acgeni tu msiojua miaka 10 mwisho ....Mama ameputa yapi acheni kabisa Mungu anajua kulipa machozi yavwamama.....acha ajifariji na watoto wake alikimbia nyumba huyo ....kuwekwa mke mwenza na mdogo wake ni dogo hilo ? Bado menhine acheni tuuu mwamba mtemi haswaa Kebbys salam kwenu banaaa
Bila kuweka uongo na unafiki ukweli kutoka moyoni sikushitushwa kabisa Wala kusikitika.Nakumbuka Usiku huo wa tarehe 17 nilikua nyumbani kwangu ile nimemaliza kuzungumza na mke wangu aliyekua safari ile nakata simu nikakuta kuna sms imeingia ya sister wangu ananiambia et Magufuli Amefariki,
nilitetemeka mwili mzima vidole vikatoa jasho kabla nikafungua twiter kabla haijafunguka nikakata nikafungua jamii forum nikakuta habari ya Tanzia, kwakweli nilidondosha chozi,
nikaanza kuwatafuta wadau kupeana habari dah Pumzika kwa amani Jembe
View attachment 1801352
Unaweza mfuata alipo, hakuna nauli...Kila nikisoma huu uzi naumia sana.
Hayati JPM ameniachia donda moyoni.
sio kila atakayekufa ikuume wewe, wacha walioguswa na msiba watao yao ya moyoni, kila kifo kinamwenyewe,Bila kuweka un
Bila kuweka uongo na unafiki ukweli kutoka moyoni sikushitushwa kabisa Wala kusikitika.
Kwa sababu nilikua naiona Tanzania iliingia kwenye machafuko huko mbele I kama jamaa huyu angeendelea kuwepo madarakani.
Huyu alikua Ni Yona kabisa ,atoswe iko amani na furaha za wakazi wa Jamhuri hii zirejee kama zamani.
sawa, ulishazihesahu siku zako wewe za kuishi umebaki nazo ngapi ili na wewe uwe mfu, naona unavyofurahia aliyetangulia kwenye safari moja na weweMwamba analiwa na funza, sijui km tumbo lishapasuka
Hahahahasawa, ulishazihesahu siku zako wewe za kuishi umebaki nazo ngapi ili na wewe uwe mfu, naona unavyofurahia aliyetangulia kwenye safari moja na wewe
Siku zikifika mimi na wewe tutamfuata tu. Hatuna namna.Unaweza mfuata alipo, hakuna nauli...
Mara tu nilipopata za chini ya kapeti tar 9 niliandaa kuku na nilimchinja siku imetangazwa asubuhi.Jamani Hata km alikua mbaya vipi tusihukumu sisi ni binadamu, hatujui mwisho wetu utakuwaje,