Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Wakuu tupeane njia za kupunguza stress, kuweka akili sawa katika wakati huu wa maombolezo maana ukisema uwashe TV zetu habari ni hizo tu, ukiingia mtandaoni habari ni hizo tu, ukikaa mtaani ndo usiseme, unajikuta muda wote unasikitika tu.
Kwa kweli hizi siku ni nyingi mno zitatupunguzia seli hai km hatutotafuta njia mbadala ya kurefresh mind, tusaidiane hapa wadau.
Note: Hata km ulikuwa humpendi marehemu ila ukikutana na wanaolia watakuondolea furaha tu maana nawe ni binadamu siku yako lazima uiwazie.
Kwa kweli hizi siku ni nyingi mno zitatupunguzia seli hai km hatutotafuta njia mbadala ya kurefresh mind, tusaidiane hapa wadau.
Note: Hata km ulikuwa humpendi marehemu ila ukikutana na wanaolia watakuondolea furaha tu maana nawe ni binadamu siku yako lazima uiwazie.