Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,127
- 188,262
Unajibishana na watu wa humu? Utajipa makasiriko ya bure kama una roho nyepesi.Mkuu NINA HASIRA sana
Since huko nyuma Mtu yuko 24hr/7days yuko humu kumtukana na kumbomoa RAISI wetu mpendwa
Wamemuombea kifo Wamzushia kifo more than Once Leo hii MUNGU amemchukua (One of My Sons's legacy ) Lakini huyu mbwa analazimisha kafa kwa Corona
Shida yao ilikua RAIS wetu afe AU watangaze afe kutokanaa COVID 19 ? ?
Even his dead body didn't Accept Covid 19 That's My boy JPM