Pumzika kwa amani Rais John Joseph Magufuli.
Ni kweli lakini katika kipindi hiki inatakiwa kuwa mpole ili kusudi Mambo yaende shwariNikiandika yalio moyoni mwangu, mods lazima watafuta comment yangu sasa hivi. Maana hatuna uhuru wa kutoa ya moyoni siku hizi JF.
Serikali inaundwa upya.Katiba iko wazi kabisa, Mama Samia anaongoza mpaka miaka hii minne iliyobaki iishe. Watatkiwa kuchagua mtu mmoja kutoka kwenye chama chake awe Makamu wa Rais. Na yeye ataapishwa kuwa Rais! Namwomba amchague January Makamba (sijui Wakristo watapiga kelele) awe Makamu wa Rais! Hakika kufa kufaana!
Weka minofu kidogo mkuu ubongo upate japo chakula kidogo.Nguvu ya Odd Numbers:
1 , 3 ,5.
Afya tele kwa Even 2 na 4.
Hapana natafakari tu haya maishaMkaldayo umefurahi naona
Maskini TanzaniaMaisha ni fumbo.
Tumia muda wako kufanya mazuri kwani siku moja utapotea kama nukta moja ya mchanga baharini na kitakachobaki ni historia yako iwe ya mabaya au mazuri.
Hata kama ulimchukia au kumpenda ila kifo ni kifo. upendo na chuki vyote havina faida sasa hivi.
Binadamu wenye moyo watanielewa.
Sifurahii wala Sisikitiki.
Have a good sleep mr. president.
Mambo mengi yatabaki vile vile ndugu. Msiempenda kaondoka lakini ugumu/urahisi wa maisha yako upo mikononi mwako.
Kura mtaendelea kuibiwa maana CCM ni ile ile. Aliyekimbilia ughaibuni ataendelea kusota kwenye bench akiusubiri urais.
Dah maisha haya..
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Anayekupa chakula, maji, nguvu, uhai n.k sio Magufuli wala sio ccmNimefurahi mno