Rais wa Tanzania 2020 ni Tundu Lissu

Kimsingi hapa hakuna maswali ma3, tatizo lako ni lowassa, kifupi alimuunga mkono km alivyowahi kuumunga mkono slaa na wengine, naleewa una insinuate lowassa ni fisadi, km hujalogwa as per jpm na au una IQ yakutosha utaelewa mna mahakama ya mafisadi, mpelekeni huko kwanza b4 blaming Lissu

Mimi nilimpigia Mhe. Lowasa kura yangu kwa hiyo simtuhumu kama fisadi kama unavyodhani. Lakini ukweli ni kwamba tulishindwa. Mheshimiwa Tundu Lisu ninamuona kama tunu ya taifa na wala simungunyi maneno. Ukweli ni kwamba, mimi na wewe peke yetu sio watakao muuingiza Ikulu peke yetu; kama ambavyo watu millioni sita tulishindwa na wapiga kura millioni nane kumuingiza Mhe. Lowasa, Ikulu. Tunahitaji watu wengine watuunge mkono, hakika tunahitaji zaidi ya nusu ya watu wote watakaopiga kura. Kama tunamtaka Mhe. Tundu Lisu tunahitaji ushawishi na mikakati ya kisanyasi kabisa labda kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi hii.

Mihemko au ushabiki uliopitiliza hauna nafasi katika zama hizi. Kwanini nimekuuliza maswali hayo matatu, bado naamini ni maswali muhimu sana kwa mtu anayetaka, Mhe. Tundu Lisu aingie Ikulu, kwa maana bado kuna watu hawana uhakika kama alihongwa ndio akamuunga mkono Mhe. Lowasa au ni akili yake tu ndiyo iliyomtuma au hakumuunga mkono isipokuwa alikiunga mkono chama chetu kama mimi nilivyofanya. Hili linapashwa kujibiwa pasipo shaka.

Swali la pili na la tatu, ipo dhana kuwa Mhe. Lowasa ndiye aliyeleta wingi wa kura kwa chadema na kuwa yeye asingekuwepo tusinge kuwa na kura milioni sita na wabunge wengi wa kuchaguliwa. Hoja hii ikijibiwa kuwa ni ndiyo, itapelekea kudharau karata yetu ya UKAWA ambayo ninaamini ilivinufaisha vyama vyote vya upinzani na Mheshimiwa Lowasa hakushiriki kuibuni.

Kujiandaa kujibu maswali haya na kuweka mikakati sitahiki, Chadema kama chama na Mhe. Tundu Lisu kama mteule wetu tutajiweka katika hali nzuri. Ninakuomba utambue kuwa hata sanduku la kura ni mahakama ya aina yake.
 
Kama Lissu analaumiwa kwa kushindwa kuwasaidia wananchi wake CCM na Rais wao pamoja na wabunge wote wa CCM waliokuwa wabunge wa jimbo hilo tangu Tanzania inazaliwa wao wanaponaje kulaumiwa wakati wangekuwa ni watu wa msaada katika jimbo hilo Lissu angekuwa anaongoza jimbo lenye maendeleo kwa kuwa CCM wangekuwa wameshamaliza Shida zote.
Baada ya kukosa maendeleo ndo wakaamua kumchagua kamanda na kwa bahati nzuri ana ukalimu wa mdomoni na maneno mengi wakaona ndo wamefika mahala sahihi- kumbe wameruka mkojo na kukanyaga mavi!!!
 
Tundu Lissu for Presidency 2020.
Hana kashfa.
Slaa walimuita Padre na lowassa walimuita Fisadi,kwa Lissu watasimama
 
Tunaopenda mabadiliko tumeshindwa kukata tamaa coz uchaguzi uliopita walisema tumeleta fisadi japo angekuwa upande wao story ingekuwa tofauti.

Kimsingi ni kuwa wewe ni lazima ugombee uraisi wa Tz 2020 vinginevyo tusubiri miaka elfu ili tuwaondoe haya majizi yanayopeana vijiti kwa slogans km maisha bora to hapa kazi tu.

Iko hv, NBS takwimu, over 70% ni hakuna elimu na la 7, over 70% wako vijijini na mitaa ya mbagala, shuguli kuu kilimo na formal sector employs about 2.4 million persons ambapo 75% wako private sector.

Kwa hizo takwimu hatuwezi kushinda kwa bahati ila kwa mikakati thabiti. Kifupi ni kwamba wako wengi wanaomlaumu lowassa kwamba slaa angeshinda 2015, siwalaumu maana majority hawaelewi voters demographics.

Slaa alishabatizwa ametumwa na Vatican na mbaya zaidi amemwibia mwenzake mke. KM huelewi how identify matters when it comes to making choices where there are abject poverty and ignorance huwezi kuelewa kirahisi kuwa both lowassa na slaa were destined to lose.

I hope mnaelewa maana ya ku lose elections ukiwa mpinzani, ni kwamba umeshinda kwa tofauti ndongo n by ndongo I mean less than 20%.

Kwa hiyo, Tundu Lissu tunakuomba kuanzia sasa anzisha harakati ya kuchukua uraisi wa Tz 2020 kwa kufanya yafutayo;

1. Tangaza not necessarily directly lakini kwa kusema you're considering possibility of running. Hii manufaa yake ni kuwa utakuwa kwenye public whether for good or bad reasons, siwezi kueleze kwa kina ila kwa reference, chukua kesi na Trump na magufuli, note majority of human populations are of low IQ, can't digest why someone is on public spot lights, hata lowassa got that much using the same approach.

2. Naelewa fedha ni tatizo kubwa ktk uchaguzi wowote duniani, anayebeza haelewi political ground games. Tayaari tuna 2.4 million persons in formal sector. Hawa on average wanaweza kuchanga TZS 150,000 from now to 2020, kwamba zitakuwepo 1000 na millions kadhaa. This is only feasible if you start now.

3. The rest nitafute kwa mikakati, you have been consistent all along, you deserve presidency of Tz. Wish you all the best.


Sijasoma hata hii post yako mpaka mwisho ila katika wapu mba fu wewe ni namba moja. Lissu Rais wa nchi hiiii au ni gani?
 
Baada ya kukosa maendeleo ndo wakaamua kumchagua kamanda na kwa bahati nzuri ana ukalimu wa mdomoni na maneno mengi wakaona ndo wamefika mahala sahihi- kumbe wameruka mkojo na kukanyaga mavi!!!
Wewe ndiye unasema wameruka mkojo na kukanyaga mavi lakini wenzako wamelamba dume.
 
Hili Jamaa jinga kabisa. Huyo Lowassa mwenyewe anakubalika kumuachia hiyo nafasi(wa kukurupuka) Mbowe mwnyw hamuamini hata kdg. Umeponiacha hoi Eti watu wachange na mtakuwa na km Mil 100 hivi. Ww utakuw Mrundi jiangalie tena
 
Nenda Jimboni kwake ukaone kama kweli anasaidia wananchi wake!! Yule vuvuzela la kisiasa mkuu!!


Yule jamaa ana dhambi sana, yaani huko jimboni kwake mpaka muda huu kuna watu wanakula mizizi na yeye yuko bize kuwakingia kifua majambazi wa makinikia. Eti awe rais, kwa akili zipi za kuropoka?
 
Raisi wa kuwatumikia mabepari na kuwaacha wachukue rasilimali zetu kwa sababu tunalipa fadhila za hisani ya mabepari kutokana na kuwategemea financially, hatuna nguvu ya kuingia madarakani wenyewe bila msaada wao
 
Ndo kaanza kwa hili bandiko.....
Ila ile njia ya kuamini Tangagiza ni mbinu ya kuukaribia ama kuufikia ushindi basi asahau.....
 
Tunaopenda mabadiliko tumeshindwa kukata tamaa coz uchaguzi uliopita walisema tumeleta fisadi japo angekuwa upande wao story ingekuwa tofauti.

Kimsingi ni kuwa wewe ni lazima ugombee uraisi wa Tz 2020 vinginevyo tusubiri miaka elfu ili tuwaondoe haya majizi yanayopeana vijiti kwa slogans km maisha bora to hapa kazi tu.

Iko hv, NBS takwimu, over 70% ni hakuna elimu na la 7, over 70% wako vijijini na mitaa ya mbagala, shuguli kuu kilimo na formal sector employs about 2.4 million persons ambapo 75% wako private sector.

Kwa hizo takwimu hatuwezi kushinda kwa bahati ila kwa mikakati thabiti. Kifupi ni kwamba wako wengi wanaomlaumu lowassa kwamba slaa angeshinda 2015, siwalaumu maana majority hawaelewi voters demographics.

Slaa alishabatizwa ametumwa na Vatican na mbaya zaidi amemwibia mwenzake mke. KM huelewi how identify matters when it comes to making choices where there are abject poverty and ignorance huwezi kuelewa kirahisi kuwa both lowassa na slaa were destined to lose.

I hope mnaelewa maana ya ku lose elections ukiwa mpinzani, ni kwamba umeshinda kwa tofauti ndongo n by ndongo I mean less than 20%.

Kwa hiyo, Tundu Lissu tunakuomba kuanzia sasa anzisha harakati ya kuchukua uraisi wa Tz 2020 kwa kufanya yafutayo;

1. Tangaza not necessarily directly lakini kwa kusema you're considering possibility of running. Hii manufaa yake ni kuwa utakuwa kwenye public whether for good or bad reasons, siwezi kueleze kwa kina ila kwa reference, chukua kesi na Trump na magufuli, note majority of human populations are of low IQ, can't digest why someone is on public spot lights, hata lowassa got that much using the same approach.

2. Naelewa fedha ni tatizo kubwa ktk uchaguzi wowote duniani, anayebeza haelewi political ground games. Tayaari tuna 2.4 million persons in formal sector. Hawa on average wanaweza kuchanga TZS 150,000 from now to 2020, kwamba zitakuwepo 1000 na millions kadhaa. This is only feasible if you start now.

3. The rest nitafute kwa mikakati, you have been consistent all along, you deserve presidency of Tz. Wish you all the best.

usije ukafanya afukuzwe kwenye chama sababu ya mdomo wako mchafu
 
Back
Top Bottom