hayo yote umesikia mkuu, lakin wenzio wameandika hayo hapo so sisi za kuambiwa tutachanganya na zetuNasikia Choo cha katika Ndege yake Kilijaa ' Nnya ' na Yeye alikuwa amebanwa na Haja Kubwa hivyo akaomba Kwanza Kutua kwa Dharura ili awahi VIP kwenda Kujisaidia ( Kunya ) ila akaambiwa hawezi Kupewa Ufunguo wa Chooni mpaka Kwanza amsifu na kumtukuza Baba Yohana wa Geita na kwakuwa ' Nnya ' yake ilikuwa Mlangoni kabisa inagonga na kurudi ikamlazimu akubaliane na ' Sharti ' japo Ndege ilipoondoka na Kupaa kabisa Angani nasikia alijilaumu mno.
Hayo atajua yeye sisi tunashukuru sifa alizotoa kwa kazi nzuri ya mkuu wa nchiHahahahahaaaaaaaaaa!Anakujaje nchini wakati Rais wetu yuko nje ya nchi???Alitaka kutunguliwa nini?
Praise team at work!!!!Hayo atajua yeye sisi tunashukuru sifa alizotoa kwa kazi nzuri ya mkuu wa nchi
Mh! Kama coincidence ville.Naona alimekuja kuwatetea wale jamaa walioshikwa na Mirungi.
Kuna wasomali wameshikwa na mirungi nchini?Naona alimekuja kuwatetea wale jamaa walioshikwa na Mirungi.
Mbona wamejaa SegereaKuna wasomali wameshikwa na mirungi nchini?
so akisifiwa haitakiwi kuzileta mana akikosolewa basi jua chadema hao mana watu wa nje wanaona kazi inayofanywaPraise team at work!!!!
Kumbe msingi wa habari hii ni"sifa"???Aisee,akikosolewa muwe mnaandika pia!!!
unaambiwa ndege yake ilipata dharula sasa kuja kuona katua kwenye kisiwa cha aman akaona sio mbaya acha niwape sifa zaoNaona alimekuja kuwatetea wale jamaa walioshikwa na Mirungi.
huyo kajitungia na habari anaijua yeye tuKuna wasomali wameshikwa na mirungi nchini?
Wala usihangaike praise team ni bashite anatumia ID zake zote haamini kuwa Magufuli hata book 7 hawamtaki bora wale vumbi kuliko kubakia wanapraise mtu ambaye hana jipyaPraise team at work!!!!
Kumbe msingi wa habari hii ni"sifa"???Aisee,akikosolewa muwe mnaandika pia!!!
Naona alimekuja kuwatetea wale jamaa walioshikwa na Mirungi.
Kwani ni marufuku wanaCCM kumkosoa?so akisifiwa haitakiwi kuzileta mana akikosolewa basi jua chadema hao mana watu wa nje wanaona kazi inayofanywa