Tetesi: Rais wa Somalia atua kwa dharura nchini, akwepa kutunguliwa

Status
Not open for further replies.

Victor wa happy

JF-Expert Member
Apr 24, 2013
11,660
11,641
Rais wa Somalia akitokea Africa kusini ametua kwa dharura Tanzania baada ya intelejensia kubaini kuwa angetunguliwa angani katika mpaka wa Somalia na Kenya

Karibu sana MO. huku kuna wasomali kibao tu tunawatunza vizuri
IMG_20190527_213648.JPG


Amepokelewa na mzee wa kanda maalum.
IMG_20190527_213712.JPG


Alshabab hawafai
 
Siri gani wakati watu tumeshajua?
Tunawajibika kulinda usalama wa mtu mwingine ujue chukulia majambazi wanavamia nyumbani kwako unakimbilia makaburini kujificha halafu unaona jamiii forums wamepost muda huo hup kuwa uko makaburini umejificha wakati hata majambazi yanasoma jamii forums huko ulikojificha si utaanza kujiharishia na kkumlaani aliyepost?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom