Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Rais wa Somalia akitokea Africa kusini ametua kwa dharura Tanzania baada ya intelejensia kubaini kuwa angetunguliwa angani katika mpaka wa Somalia na Kenya
Karibu sana MO. huku kuna wasomali kibao tu tunawatunza vizuri
Amepokelewa na mzee wa kanda maalum.
Alshabab hawafai
Karibu sana MO. huku kuna wasomali kibao tu tunawatunza vizuri
Amepokelewa na mzee wa kanda maalum.
Alshabab hawafai