Rais wa Rwanda afunga zaidi ya misikiti na makanisa 6000

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,907
6,697
Paul_Kagame ambaye ni rais nchini Rwanda ameifunga misikiti pamoja na makanisa zaidi ya 6000 . Na nukuu

" Nimefunga miskiti na makanisa zaidi ya 6000 kwa Sasa hakuna mtu yeyote ana uwezo wakufungua kanisa au muskiti Hadi aonyeshe cheti sahihi cha theologia . Hawa watu waache kucheza na imani za watu kiasi kwamba walishafanya makanisa na miskiti yao kua biashara ya kuwafaidisha wao na familia zao kwa hiyo Kama wanahisi Rwanda haiwezi kupata baraka, waambieni kua Rwanda imebarikiwa kitambo tuu " .

Muheshimiwa yupo sahihi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paul_Kagame ambaye ni rais nchini Rwanda ameifunga misikiti pamoja na makanisa zaidi ya 6000 . Na nukuu

" Nimefunga miskiti na makanisa zaidi ya 6000 kwa Sasa hakuna mtu yeyote ana uwezo wakufungua kanisa au muskiti Hadi aonyeshe cheti sahihi cha theologia . Hawa watu waache kucheza na imani za watu kiasi kwamba walishafanya makanisa na miskiti yao kua biashara ya kuwafaidisha wao na familia zao kwa hiyo Kama wanahisi Rwanda haiwezi kupata baraka, waambieni kua Rwanda imebarikiwa kitambo tuu " .

Muheshimiwa yupo sahihi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo chako cha habari ni nini? Maana umeandika tu na kichaa yeyote anaweza kufanya hivyo
 
Paul_Kagame ambaye ni rais nchini Rwanda ameifunga misikiti pamoja na makanisa zaidi ya 6000 . Na nukuu

" Nimefunga miskiti na makanisa zaidi ya 6000 kwa Sasa hakuna mtu yeyote ana uwezo wakufungua kanisa au muskiti Hadi aonyeshe cheti sahihi cha theologia . Hawa watu waache kucheza na imani za watu kiasi kwamba walishafanya makanisa na miskiti yao kua biashara ya kuwafaidisha wao na familia zao kwa hiyo Kama wanahisi Rwanda haiwezi kupata baraka, waambieni kua Rwanda imebarikiwa kitambo tuu " .

Muheshimiwa yupo sahihi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni chai ya moto sana ila watu wameshindwa kugundua.makanisa na misikiti elfu 6 kwa nchi kama Rwanda ?
 
usanii mwingi kwenye imani...

na serikali nyingi huwa zinaogopa maswala kama haya ila hawajui tu jinsi gani wananchi wanapata shida. ndoa kuvunjika, jamii kupotoshwa, familia kusambaratika n.k.

watu wahovyo wamejificha kwenye imani ila wenye dini wanawaona!
 
Paul_Kagame ambaye ni rais nchini Rwanda ameifunga misikiti pamoja na makanisa zaidi ya 6000 . Na nukuu

" Nimefunga miskiti na makanisa zaidi ya 6000 kwa Sasa hakuna mtu yeyote ana uwezo wakufungua kanisa au muskiti Hadi aonyeshe cheti sahihi cha theologia . Hawa watu waache kucheza na imani za watu kiasi kwamba walishafanya makanisa na miskiti yao kua biashara ya kuwafaidisha wao na familia zao kwa hiyo Kama wanahisi Rwanda haiwezi kupata baraka, waambieni kua Rwanda imebarikiwa kitambo tuu " .

Muheshimiwa yupo sahihi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sana tu
 
Back
Top Bottom