Tetesi: Rais wa nchi ile hana nia ya dhati ya kuthibiti corona. "USHAHIDI" anatamani na anapanga makusudi maafa yatokee nchini mwake

Umeandika vizuri sana. Na umeuliza vizuri pia.

Ngoja nikupe majibu kiuchache.

Corona kwangu kama raisi wa nchi ya mbali ni kama sheria hakimu mtuhumiwa na mahakama.

Yaani kama hauna kosa hauwezi kufungwa wala kupigwa faini utaachiwa na kuwa huru.

Sheria kwenye corona ni kama "umri je uko chini ya miaka 50 kama hapana yaani 61 na kuendelea kwa corona ni kosa na wastahili kufa.

Yaani leo hii Kiranga una miaka 60 ni sawa na umezaliwa 1960 alafu kweli unataka kuendelea kuishi kweli?

Kwanini usife unaunda nini zaidi ya mzigo tu kwa wanao na wajukuu zako.
Kwanza hauzai pili haufanyi kazi ngumu tatu wee kulala na kuvuta ugolo kwanini usife?

Mahakama kwa Corona ndiye corona mwenyewe yaani kufika mahakamani haina maana kuwa wewe ni mwenye kosa moja kwa moja.

Kukupata corona sio ndio mwisho wa maisha yako Kiranga bado una nafasi ya kuishi pia.

Na hakimu kwa corona ni #TIME yaani muda.

Acha muda ufanye yake acha kupiga kelele msikilize muda/saa bado kuna siku itafika vyote hivi vitaandikwa kwenye historia kwamba kuna mwaka ilitokea corona.

na hapa rahisi mwenzangu wa nchi ya Tanzania anasimamia kuwa ((MUDA UNAONGEA.))

UACHE MUDA UHUKUMU
unaambiwa tu kuhusu corona au una wasikiliza shilawadu kaa kiakili wewe watoto wana kwaya walio pata corona unajua wapo wangapi je unajua corona imeua watoto wa chini ya umri wa miaka 20 wangapi kama unajua nijb kama hujui endelea kuchinga uongo wako sawa
 
Umeandika vizuri sana. Na umeuliza vizuri pia.

Ngoja nikupe majibu kiuchache.

Corona kwangu kama raisi wa nchi ya mbali ni kama sheria hakimu mtuhumiwa na mahakama.

Yaani kama hauna kosa hauwezi kufungwa wala kupigwa faini utaachiwa na kuwa huru.

Sheria kwenye corona ni kama "umri je uko chini ya miaka 50 kama hapana yaani 61 na kuendelea kwa corona ni kosa na wastahili kufa.

Yaani leo hii Kiranga una miaka 60 ni sawa na umezaliwa 1960 alafu kweli unataka kuendelea kuishi kweli?

Kwanini usife unaunda nini zaidi ya mzigo tu kwa wanao na wajukuu zako.
Kwanza hauzai pili haufanyi kazi ngumu tatu wee kulala na kuvuta ugolo kwanini usife?

Mahakama kwa Corona ndiye corona mwenyewe yaani kufika mahakamani haina maana kuwa wewe ni mwenye kosa moja kwa moja.

Kukupata corona sio ndio mwisho wa maisha yako Kiranga bado una nafasi ya kuishi pia.

Na hakimu kwa corona ni #TIME yaani muda.

Acha muda ufanye yake acha kupiga kelele msikilize muda/saa bado kuna siku itafika vyote hivi vitaandikwa kwenye historia kwamba kuna mwaka ilitokea corona.

na hapa rahisi mwenzangu wa nchi ya Tanzania anasimamia kuwa ((MUDA UNAONGEA.))

UACHE MUDA UHUKUMU
unaambiwa tu kuhusu corona au una wasikiliza shilawadu kaa kiakili wewe watoto wana kwaya walio pata corona unajua wapo wangapi je unajua corona imeua watoto wa chini ya umri wa miaka 20 wangapi kama unajua nijb kama hujui endelea kuchinga uongo wako sawa
 
Huku dunia nzima tukiwa na hali ya taadhari na mipango mbali mbali kupambana na janga hili la virus vya corona kuna nchi moja ya mbali huko kiongozi wa taifa hilo anaonekana na wengi kua hajali ila kwangu mimi namuona kwa jicho tofauti nikitazama ushahidi wa hulka zake.

Wakati mchi zotewanaamasisha kuepuka misongamano, katika nchi hyo wala hawajali kitu huku afisa fulani wa serikali anaeshutumiwa kua alipata 0 darasani akikusanya watu kila siKu kuongea "yasiyo ya msingi"

Nchi hyo ambayo tayari imeripotiwa kuwa na wagonjwa kadhaa wa corona, raisi wao anaamasisha watu waendelee kwenda kanisani na misikitini ili hali mikusanyiko inatambulika kua hatarh.. (anatamani na anapanga kwa makusudi watu wake waambukizwe usiulize kwanini, relax nitajibu swali hili punde)

Wakati dunia nzima ikishuhudia marais wa mataifa mbali mbali wakitoa rai kila mara kukumbusha, kutoa mikakati na kusisitiza wanainchi wao, raisi wa nchi hiyo yeye anaonekana akiwa anafanya utalii wa miamba huku akionekana kunywa coffee "mitaani" makusudi akiaminisha watu hakuna hatari.

Kwanini rais huyu anapanga maafa yatokee ?!
Kulijibu hili tuweke wazi mambo kadhaa, kwanza yeye na familia yake ni dhairi hawata athirika na janga hili na hata ikitokea mtu wa familia yake akapata tatizo hili, atahududiwa na ICU chache zitawekwa "reserve" kwa ajili yao. (UBINAFSI) Na kiongozi huyu ni mbinafsi kweli kweli mithili ya kina Mobotu huku akijijengea empire na uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa ukigharimu mabilioni ya shiling kijijini kwao ambako hakuna raia mwenye uwezo wa kupanda ndege.

Ubadhilifu. Rais huyu anapanga maafa haya huku akijua wazi kua endapo maafa yatakua makubwa nchini mwake na kwingine kuthibitiwa atapewa "misaada" na hapo ndo kwenye utamu.

Raisi huyu alishashuhudiwa akikwapua mabilioni ya fedha zilizochangwa na misaada kutoka mataifa mbali mbali kwa ajili ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoa fulani nchini mwake na rais huyu akakwapua fedha yote bila kutoa msaada wowote kwa wahanga huku akisema "serikali haikukaeta tetemeko" ila mimi nikashangaa serikali kuchukua fedha za misaada ya wahanga, haikuleta tetemeko ila misaada inakwapua.

Kwa wakati mwingine ilitokea ajali mbaya ya basi la wanafunzi katika mkoa fulani nchini humo maarufu sana kwa kilimo cha bangi, michango toka kila kona ya dunia ilikusanywa kisha kama kawaida kukwapuliwa na serikali.

Sababu nyingine kwa serikali hyo kupalia kuni janga hili ni kupata sababu ya kuendelea kusalia madarakani. Serikali hyo ambayo imekua ya kifisadi na kidikteta imepoteza mvuto kwa wananchi huku ikidaiwa kutekeleza uteji wa wakosoaji.

Ni dhairi serikali hyo inaogopa uchaguzi wa huru na haki ambao uko karibuni na sasa kichaka cha corona virus ni maridhawa kujificha humo kama janga litakua kubwa kama wanavyopanga hvyo kusalia madarakani kwa kuairisha uchaguzi.

Ni dhairi serikali ya nchi hyo ya mbali inatamani na inapanga kutumia janga la corona kujikwapulia tena fedha za misaada pale hali itakapokua tete kuliko kote duniani (kama wanavyopanga) na misaa kushuka.
Mpaka corona iue chattle ndio hatua madhubuti zitachukuliwa.
 
Back
Top Bottom