Nawatania
Senior Member
- Jul 13, 2021
- 148
- 549
Imagine now kila kitu kinapanda tu BeiHuyu Mama ni hopeless and inept.Ni kama mtoto mdogo alievaa pampasi ambae hajui la kufanya.
Imagine jitu ni Rais halafu linasema kuwa 2025 litagombea urais ili liwabebe wanawake bila ya kujua kuwa Rais ni kiongozi wa watu wote na mtu hawi Rais kutokana na jinsia yake au kabila lake au dini yake au rangi yake🤡🤡🤡
Halafu Rais anatangaza Nia ya kugombea 2025.