Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga tarumbeta zake..

Jibu ni hapana.

Rais yeyote wa taifa anapo fariki Taifa huwekwa ktk hali ya hatari kwa siri kwa kipindi kisicho julikana. Wakati huo team ya watu maalumu inayo undwa na maofisa wa idara nyeti za usalama huingia kazini na kuanza kutafuta tarifa nyeti na nzito ambazo hata yule alie kaimu huwenda hajuwi... Team hii ya makachero maalumu huwa na makachero maalumu kutoka idara nyeti za mataifa rafiki kufuatilia sababu za kifo za Rais alie kuwa madarakani. Nahii huwa hasa pale kuna siri uwenda hujuma au taifa fulani limetajwa ktm lile tukio. Ikumbukwe japo kifo kipo kwa kila mwanadam ila kifo kwa kiongozi mkubwa wa Taifa kama Rais huwa nijambo zito sana kwa idara za usalama.

Kipindi chote cha upelelezi team hii ugawanyika ktk makundi yasiojulikana kuhakikisha yeyote alie ktk kikundi kile hatowi wala kuvujisha taarifa za siri kwa mtu au kikundi chochote. Nikipindi cha hatari na dhahima kwa yeyote anaye waingilia makachero hawa.

Nikipindi ambacho kama upo smart utasikia taarifa za vifo vya top government officer silence pasipo sababu zinajulikana ila moja wapo ni natural death. Alilala hakuamka, alikuwa kikao akasema hajisikii vizuri au covid19.

Niwakati wale walikuwa wandani wa Rais alie kufa hupita nyakati ngumu na mara nyingi kifo na uzima ubaki mikononi ya team inafuwatilia kifo cha rais. Sio wakati hata kama umepata nafasi ya juu sana unapaswa kuonyesha una hatamia au unaona kwako ni fursa maana unaweza kuwa mchawi pasipokujuwa mchawi na mwisho ukaingia ktk report ya siri ya usalama wa Taifa.

Labda niseme hapa kidogo ktk Taifa lolote lenye mifumo imara ya ulinzi hasa idara hii ya usalama wa Taifa nivigumu sana Rais wa nchi kuwa huru kama vile unasikia. Idara hii nyeti ya Taifa lolote huwa ni idara inayo angalia zaidi masilahi mapana ya Taifa na mara nyingi kama Rais wa taifa akienda kinyume na taratibu hii idara ubadilika kuwa adui wa siri wa kiongozi.

Labda nitoe mfano kule Israel mtendaji mkuu wa shughuli za taifa ni waziri mkuu. Waziri mkuu wa Taifa la Israel ni mtu mwenye nguvu sana na mpaka majeshi anaweza yapeleka vitani na kwa wenzetu wame advance huwezi fikia nafasi ya uwaziri mkuu kama hujafanya jambo zito lakijasiri kuitegea nchi yako. Una ambiwa kwa mfano waziri mkuu mstaafu Bwana Benjamin Netanyau ni moja ya mawaziri alie fikia level ya ukomandoo na sio tu komandoo tu jamaa na IQ 153 kama sijakosea yani ni moja ya mawaziri ana akili sana na sio hivyo tu ila kaka yake ni among most intelligent and among the special unity ktk kukomboa mateka kule uganda ila alikufa kwa bahati mbaya na mpaka leo taifa lina omboleza juu ya kifo chake.

Niende kwenye kile nataka kuwaambia kule israel alitokea waziri mkuu mmoja anaitwa Isack Rabin waziri mkuu huyu alifanya tukio ambalo kwa taifa la Israel nikuuwawa alifikiri kwa ushawishi aliokuwa nao na nguvu atawaunganisha Israel na Palestinian na kurudisha ardhi ya Palestinian. Jambo hili alofanikiwa ila aliporudi nyumbani Isack Rabin alipigwa Risasi na kufa hapo hapo na kijana alie kuwa ktk team ya wafuwasi wake.

Jambo la ajabu sana ktk tukio hili nikuwa kulikuwa na taarifa za siri sana kwamba kijana alie muuwa waziri mkuu alikuwa ni kijana alie pikwa kwa siri na team ya mossad ili kumu eliminate waziri huyu kwasababu alikuwa aki hatarisha masilahi mapana ya usalama wa Taifa hilo.

Mossad ni moja ya idara za usalama wa taifa la israel inayo ogopwa na mataifa hata makubwa na kama ulikuwa ujuwi idara hii inaheshimika mpaka na idara nyeti kama CIA, M16 ya UK pamoja na KGB nk. Idara hii haijawahi shindwa na data zake mara zote 100% Mpaka leo kijana huyo yupo mahabusu na haijajulikana nani alie mtuma.

Rais wa Taifa kufa madarakani ni jambo lahatari sana maana huwa ni kama kibali cha kuuwa kwa jina la jamuhuri. Watu hufa watu hupotea kwa jina la jamuhuri niwakati hata wale wapo madarakani yawapasa kuwa makini na midomo yao ama mawazo yao. Niwakati ambao kama umepewa kurithi kiti basi kuongoza mka pale muda unaisha wa alie fariki nankukaa pembeni wenye nchi wamchaguwe wanaye mtaka ama usubiri kuona giza mbele kama giza liliwakumba watu wa zambia.

Sio muda eti kutangaza nia hapana epuka huwo mtego maana utaonekana mchawi. Nakufanya walio ktk upelelezi wa kifo cha Rais alie kufa kukuweka ktk list ya mambo yakuhisi.

Vyama vya upinzani nilazima kuwa makini hasa hiko kipindi maana unaweza jikuta mna hangaika na mtu msie muona why ni aina hii ya kazi ile team wanafanya.

Naandika haya kama elimu kwa watanzania na makada kujuwa hiki kipindi nikibaya sana kuunda makundi au kuanzisha vuguvugu la nani awe Rais nikitisho kwa usalama wa Taifa na Taifa.
NB

Ndugu msomaji huu uzi una nia moja kuwaelimisha watanzania kuepuka piga siasa wakati Rais ana fariki akiwa madarakani uzi huu hausiani au kumuhusu mtu au kikundi cha watu ktk siasa. Hii ni elimu ya siri ya bure.
End
Hivi lengo mada hii nini ,? Japo unasema unaelimisha,msipende kua mnatisha watu ,
 
Tena zilivuja hata baada ya kifo chake japo walijitahidi kuficha lkn Maji yalivuja kwenye pakacha
Mlolongo wa kifo cha JPM bado ni fumbo kwa waliowengi, nikikumbuka zile tweet za Tundu Lissu na kigogo na amini alifariki kabla ya tarehe 17.
 
Unajua ndugu yangu wakati mwingine Mungu uruhusu jambo litokee pengine liwe baya au zuri anasababu zake. Mie si nabii wala mtume wala mchungaji.

Lakini mwaka 2019 niliota tupo Ikulu Dar, kuna sherehe kubwa lkn Magufuli hatumuoni, yupo tu Waziri Mkuu Majaliwa tukimuuliza Magufuli yuko wapi yeye hasemi anatuyeyusha.

Nikajiuliza sherehe kubwa ikulu? Tunakula vyakula kibao. Mwaka 2020, 2021 ndoto ilijirudia vile vile ila wakati huu nikaota Tanzania inarais mwanamke. Nikampigia Rafiki yangu mmoja nikamwambia labda uchaguzi wa 2030 Tanzania tutaongozwa na mwanamke. Anyway tukacheka yakaisha.

Mwaka 2021 February ndoto ile ikajirudia vile vile. Ila wakati huu watu walikuwa hawana raha, Usalama wa Taifa walikuwa busy. Nilijiuliza tu hii ndoto inamaana gani? Sikujali. Ndo baada kusikia Magufuli kafariki ndo sasa nikakumbuka ndoto nilio iota kwa miaka mitatu mfululizo.
Mtoa mada msije mkaniingiza kwa wale watu wakuchunguzwa. Tafadhali hii ilikuwa ndoto tu!
Yaani hapa mimi nakuelewa kabisa utafikiri tunafahamiana au huwa tunaongea siku zote. Una sensor za kiroho kama zangu kabisa. Ndoto ni moawapo ya milango ya mawasilianao makubwa kabisa kati ya Mungu na mwanadamu. Endelea kuwa unazitilia maanani ndoto zako halafu muombe Mungu akupe kumbukumbu nzuri usiwe unasahau kile unachoota usije ukawa kama mfalme Nebukadreza
 
Kwa wale wanaombeza mleta mada hawana jicho la tatu!!!Mama alijichanganya alipojibu upupu wa gazeti la uhuru kupitia Shaka hamdu shaka!!!VIFO VYA AKINA MFUGALE,KWANDIKWA NA WENGINEO WATAKAOFUATA NI VYA KUTAZAMWA NA JICHO LA TATU!!!Mama kaanza kampeni mapema sana!!Ngoja tuone hatma!!!
Kwandikwa - Covid19 hata Mfugale inahisiwa kuwa ni gonjwa hilo hilo. Tatizo wabongo tunadharau huu ugonjwa halafu vifo tunavisingizia matatizo mengine.
 
Yaani hapa mimi nakuelewa kabisa utafikiri tunafahamiana au huwa tunaongea siku zote. Una sensor za kiroho kama zangu kabisa. Ndoto ni moawapo ya milango ya mawasilianao makubwa kabisa kati ya Mungu na mwanadamu. Endelea kuwa unazitilia maanani ndoto zako halafu muombe Mungu akupe kumbukumbu nzuri usiwe unasahau kile unachoota usije ukawa kama mfalme Nebukadreza
Shida yangu nakuwa naota then sijali japo nitakumbuka. Mfano siku za karibuni nimeota kiongozi mmoja wapo serikalini ni mkubwa tu kwa madaraka, anaumwa sana. Alilazwa. Baadhi ya watu wakishangilia afe. Lakini akapona.
Watu walimwombea sana. Akapona.
Baada ya hapo nikaoneshwa maadui wake wasiomtakia mema. Nikaona ktk ndoto maadui wengi alonao wako na ukaribu nae. Kuna mtu... siwezi mtaja hapa ila....hampendi kabisa huyu kiongozi. Na anapenda aachane nae lkn anashindwa.
Ni ndoto tu! Japo mara nyingi ndoto zangu baadae hutokea kweli. Inaweza chukua muda ila itatokea.
 
Shida yangu nakuwa naota then sijali japo nitakumbuka. Mfano siku za karibuni nimeota kiongozi mmoja wapo serikalini ni mkubwa tu kwa madaraka, anaumwa sana. Alilazwa. Baadhi ya watu wakishangilia afe. Lakini akapona.
Watu walimwombea sana. Akapona.
Baada ya hapo nikaoneshwa maadui wake wasiomtakia mema. Nikaona ktk ndoto maadui wengi alonao wako na ukaribu nae. Kuna mtu... siwezi mtaja hapa ila....hampendi kabisa huyu kiongozi. Na anapenda aachane nae lkn anashindwa.
Ni ndoto tu! Japo mara nyingi ndoto zangu baadae hutokea kweli. Inaweza chukua muda ila itatokea.
Endelea kuzitilia maanani sasa katika mtizamo wa kiroho zaidi na kwa kuzingatia zaidi Maandiko Matakatifu; na si kwa viongozi tu bali pia kwa watu wote wakiwemo ndugu zako. Kuna uwezekano mkubwa pia kuwa huwa unapata zaidi ndoto zenye ujumbe unaohusu ndugu zako, lakini unashindwa ku-decode messgae hizo kwa kudhani kuwa ni ndoto tu. Ikiwa hadi Mungu amekufikisha kwenye level ya kuwa unaona mambo makubwa ya viongozi wa nchi, basi yale ya ndugu zako na watu wengine ulio karibu nao yatakuwa ni mengi muno ila huwa huyatilii maanani na hivyo kushindwa kujua ujumbe wake. Mungu akuongoze sana katika hili.
Naomba usome mafungu haya hapa machache kutoka kwenye Maandiko Matakatifu Biblia

Yoeli 2:28-30 BHND​

“Kisha hapo baadaye nitaimimina roho yangu juu ya binadamu wote. Watoto wenu wa kike na wa kiume watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono. Hata juu ya watumishi wa kiume na wa kike, nitaimimina roho yangu wakati huo. “Nitatoa ishara mbinguni na duniani; kutakuwa na damu, moto na minara ya moshi.
 
Kwandikwa - Covid19 hata Mfugale inahisiwa kuwa ni gonjwa hilo hilo. Tatizo wabongo tunadharau huu ugonjwa halafu vifo tunavisingizia matatizo mengine.

Mkuu

Hii Covid-19 inasingiziwa sana!

Mazingira ya kifo cha mtajwa mwanzoni mwa aya

Na mazingira ya kifo cha shahidi X, ni sawia!

Shukrani!
 
Mkuu

Hii Covid-19 inasingiziwa sana!

Mazingira ya kifo cha mtajwa mwanzoni mwa aya

Na mazingira ya kifo cha shahidi X, ni sawia!

Shukrani!
Mkuu ukiuguza jamaa kwa ugonjwa huu au ukapoteza wawili watatu ndio utaelewa madhara yake.

Kwa kusimuliwa tu huwezi ukaielewa vyema covid19.
 
Mkuu ukiuguza jamaa kwa ugonjwa huu au ukapoteza wawili watatu ndio utaelewa madhara yake.

Kwa kusimuliwa tu huwezi ukaielewa vyema covid19.

Mkuu

Hakuna mahali nimesema kwamba huu ugonjwa

haupo kwenye jamii yetu.

Kuna baadhi ya vifo vinapewa uhusika wa UVIKO

Shukrani
 
Well mimi sio mtu wa idara na pia sio movie sio .penz wa mapicha ila napenda kujuwa kile kinaendelea duniani. Naomba kasome report ya kifo cha JF wa marekani, report ya kifo cha Isack Rabin na mwisho nokifumbue macho. Kama hujuwi basi ujuwe leo usiwe mshamba.
Wamarekani rafiki yao mkubwa ni Israel na UK hawa idara zao zina saidiana sana sana. Even kwenye matukio makubwa hawa wanasaidiana.
Tanzania tuna nchi tunasaidiana sana kwenye idara mfano kwa africa SA ni watu wetu, Hapo Mozambique ni watu wetu, zambia watu wetu Uganda watu wetu, Kenya ni marafiki zetu walisaidia sana vita ya uganda pia Kenya ni central or heaven of high profile intelligence unity usiniulize why... Zimbabwe wanatuheshim sana hapo Ethiopia, sudan kusin, Kongo kama ulikuwa hujuwi Tz is among the best intelligence agency in the world but is under ground. Nikianza kukupa madini utaniogopa nenda kakojowe kalale kama unafikiri taifa hili kuna vilaza basi pole.
Andika kitabu cha hadithi kitauzika tu. Kiwango cha ubora wa Usalama wa Taifa na kuweza kushughulikia masuala ya msingi unayoelezea hakitokani na ubora wa kitengo chenyewe peke yake, kinakwenda pia na mshikamano, pia kiwango cha cream (watu wa wakati huo, rasmi na wasio rasmi, wenye maono na usemi katika mustakabali wa Taifa) ya taifa lenyewe. Vinginevyo ni kuhangaisha na kupoteza muda wa watu tu kuzungumzia mambo ya kufikirika.
 
Hayo yanawezekana huko kwingine lakini sio hapa Tz ambako kifo Cha rais ni furaha kwa vikundi flani na Kanda flani flani.
 
Hayo yanawezekana huko kwingine lakini sio hapa Tz ambako kifo Cha rais ni furaha kwa vikundi flani na Kanda flani flani.
Watanzania tulio wengi tumefurahishwa na kifo cha Dikteta uchwara.

Na bado tupo kwenye shangwe na kila tarehe 17 march tutakuwa tunakesha bar kufurahia na kutowa sadaka ya shukrani kwa Mungu kwa kutuondolea huyu kichaa dhalimu bila machafuko wala umwagaji damu, maana kwingineko duniani kuwang'owa madikteta huwa kunaambana na umwagaji damu za watu wasio na hatia.

Kwa matendo haya ya huruma ya Mungu tunapaswa kutowa sadaka ya shukrani kila tarehe 17 March.
 
Watanzania tulio wengi tumefurahishwa na kifo cha Dikteta uchwara.

Na bado tupo kwenye shangwe na kila tarehe 17 march tutakuwa tunakesha bar kufurahia na kutowa sadaka ya shukrani kwa Mungu kwa kutuondolea huyu kichaa dhalimu bila machafuko wala umwagaji damu, maana kwingineko duniani kuwang'owa madikteta huwa kunaambana na umwagaji damu za watu wasio na hatia.

Kwa matendo haya ya huruma ya Mungu tunapaswa kutowa sadaka ya shukrani kila tarehe 17 March.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom