Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,590
Matendo yanayofanyika. Hilo linajidhihirisha. Chato hata BOT watajenga jengo. Kuna Chato Stadium inakuja. Sasa Chato university yenye college zote inakuja. Tena na hospital ya rufaa ipo .College ya medicine na health sciences itakuwa ya kwanza kuanza kazi.hahaha inamaanisha makao makuu ya kanda ya ziwa ni Chato