Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,188
- 79,398
Utaifa uanza na lugha hata mataifa ya nchi za Magharibi yenye lugha nyingi ni matatizo angalia Belgium, angalia Switzerland na angalia Spain! Lazma lugha rasmi iwe moja as unifying factor!Mbona tusikuze lugha ya kiswahili na lugha za asili kwa pamoja bila kuidharau lugha yoyote ile?