Rais wa Misri Abdel Fattah el-Sisi, aleta neema Tanzania Kiuchumi, Elimu, Afya na Utalii, Kiwanda cha nyama Kujengwa

Tuitumie fursa hii kumtaka Rais wa Misr atupatie wataalamu wa kilimo cha umwagiliaji kutoka Misr.

Misr wana mto mmoja tu wa maana, Nile, na wana uhaba wa mvua na maji kulinganisha na hapa kwetu lakini wanalima kwa kumwagilia kutumia mto huo chakula cha kuwatosha wao wenyewe na kuuza nje.

Amazing.

Hii ni aibu ya karne, sisi tuna maziwa,mito,mabwawa,chemchem lakini tunaenda kuomba wataalam kwenye nchi yenye mto mmoja tena mto wenyewe unanzia kwenye ziwa lilopo kwetu.
 
Kilikuwepo chuma kingine kikiitwa mohamed hussein tantawi. Hawa wafereji kwa mto nile lazima wakuombe urafiki
 
Mahiga anafanya kazi kubwa sana...!
Mahiga Kifaa sana, nchi za Afrika Mashariki sasa hivi wajiharishia tu jamaa anavyowatesa kidiplomasia.Diplomasia ya nchi sasa iko kiuchumia sana, ila kwa wapinga kila kitu tunawapa muda wa miaka michache watashanga nchi hii itakapofika kimataifa. Hatuwaiti wanakuja weneywe kwa mapenzi ya kwa Tanzania
 
Tuitumie fursa hii kumtaka Rais wa Misr atupatie wataalamu wa kilimo cha umwagiliaji kutoka Misr.

Misr wana mto mmoja tu wa maana, Nile, na wana uhaba wa mvua na maji kulinganisha na hapa kwetu lakini wanalima kwa kumwagilia kutumia mto huo chakula cha kuwatosha wao wenyewe na kuuza nje.

Amazing.
Ni ushauri mzuri. Bora mtu akupe ndoano kuliko samaki!
 
Amekuja kuwaonga CCM ili miradi ya maji kutoka ziwa Victoria isimamishwe...watu maskini kunuka wa kanda ya ziwa wafe kwa kiu...
 
Mahiga Kifaa sana, nchi za Afrika Mashariki sasa hivi wajiharishia tu jamaa anavyowatesa kidiplomasia.Diplomasia ya nchi sasa iko kiuchumia sana, ila kwa wapinga kila kitu tunawapa muda wa miaka michache watashanga nchi hii itakapofika kimataifa. Hatuwaiti wanakuja weneywe kwa mapenzi ya kwa Tanzania
Mkuu huyu hajaalikwa ? Hebu pitia source zako vizuri halafu urudi urekebishe comment yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo sijui mtaomba hela ya nini..
Reli SGR iliyobuma..!!
Jamaa enu hajui hata wa kuwaomba..
Hata akija Rais wa Chad anaomba tu!!

Hivi SGR imebumaje? maana naona posts za kazi zishatoka watu wanapeleka CV zao... Madereva wasaanza interviews... Ina maana hayo yote ni geresha?
 
Mahiga Kifaa sana, nchi za Afrika Mashariki sasa hivi wajiharishia tu jamaa anavyowatesa kidiplomasia.Diplomasia ya nchi sasa iko kiuchumia sana, ila kwa wapinga kila kitu tunawapa muda wa miaka michache watashanga nchi hii itakapofika kimataifa. Hatuwaiti wanakuja weneywe kwa mapenzi ya kwa Tanzania

Huu ndio tunaita ushabiki wa kipumbavu. Ni ajabu marais kuja nchini mwetu? Walikuja kina Bush, Obama nk lakini bado tunachangishana madawati ndio itakuwa kama huyu wa Egypt? Wakati hao viongozi walipokuwa wanakuja Mahiga ndio alikuwa waziri wa mambo ya nje? Iweje leo ndio ionekane kafanya la ajabu au ndio kujishuku?
 
Hivi SGR imebumaje? maana naona posts za kazi zishatoka watu wanapeleka CV zao... Madereva wasaanza interviews... Ina maana hayo yote ni geresha?
Ndugu ukifuata kelele za wabongo hutafika popote. Magufuli anawapatia sana wabongo kama hao.
 
Huyo al fattah al sis aache kuleta neema Misri aje aielete
tapatalk_1502726210226.jpeg
Tanzania. ccm mna laana nyie.
 
maskini Raisi wetu kawa kampambe mauwa kila mtu anayekuja kaleta neema haya na ajitokeze sasa nchi hii tajiri sana hatuaji msaada wowote sasa hivi unamuona alivyodesperate na dola milioni au mbili hana stratgy za kukuza uchumi unamwonea huruma sana hivi nini kinachomsumbuwa mpaka hajui afanye nini
 
Unapotoa maoni uangalie na kesho mara mkanda Leo udini stupidity perception in your mindset!!

nimeshajibiwa!!! Jina lake ni AbdulFatah ..ni moja katika majina ya Mwenye ez Mungu "Al FAtah" Abdul FAtah,...Mja wa Fatah..sasa nilikuwa nasikia dini yake sio muilsma ndio maana nikata kujua!

Ustaarabu ni kitu cha bure kabisa! ungenijibu tu badala ya kunitolea Lugha kali..Mola akusameh! hata hivo kuna kitu kinanivutia sana katika utawala huu! kuna baadhi ya maRais huwa wanapokelewa na mawaziri na baadhi na Magufuli mwenyewe! kinanivutia siku hadi siku!
 
Mahiga Kifaa sana, nchi za Afrika Mashariki sasa hivi wajiharishia tu jamaa anavyowatesa kidiplomasia.Diplomasia ya nchi sasa iko kiuchumia sana, ila kwa wapinga kila kitu tunawapa muda wa miaka michache watashanga nchi hii itakapofika kimataifa. Hatuwaiti wanakuja weneywe kwa mapenzi ya kwa Tanzania
Watanzania hawapendi kujikweza ingekuwa ni Kenya tungekoma na madoido yao.
 
Back
Top Bottom