SumadaVinci
Senior Member
- Dec 27, 2018
- 161
- 328
Huko mwaka 2018 kulivuma habari, Marekani baada ya mtu mmoja asiyejulikana jina ....kutuma ujumbe wa sauti katika vyanzo mbalimbali ikiwemo vya habari
Mtu huyo alieleza kuwa 12-9-2018 atazaliwa mtoto wa kiume atakaeitwa JAYNOUE OLIVER BECK. ambaye atachaguliwa kuwa raisi wa marekani 3-11-2082
Lakini mtu huyo atauawa baada ya miaka miwili akiwa na cheo chake hicho hicho cha Urais na atakuwa miongoni mwa watu watakaopendwa zaidi katika historia ya dunia.
Mtu huyo ambaye wengi walimwita time traveller alieleza JAYNOU OLIVER BECK atakuja na kanuni zake za kifilosophi ambazo zitathibitisha uwepo wa MUNGU, na wengi watamwamini na hakuna atakayeweza kumpinga . na atauwawa ili kumzuia na kanuni zake hizo.
Na mpaka leo hii nchini marekani watoto wengi wa kiume waliozaliwa tarehe hiyo wamepewa jina hilo...JAYNOU OLIVER BECK
Na mtu huyo alijinadi sana na kusema yeye ni time traveller(msafiri wa nyakati) ....
Unaweza kugoogle mtandaoni kupitia jina hilo kupata habari zake zaidi.
Mtu huyo alieleza kuwa 12-9-2018 atazaliwa mtoto wa kiume atakaeitwa JAYNOUE OLIVER BECK. ambaye atachaguliwa kuwa raisi wa marekani 3-11-2082
Lakini mtu huyo atauawa baada ya miaka miwili akiwa na cheo chake hicho hicho cha Urais na atakuwa miongoni mwa watu watakaopendwa zaidi katika historia ya dunia.
Mtu huyo ambaye wengi walimwita time traveller alieleza JAYNOU OLIVER BECK atakuja na kanuni zake za kifilosophi ambazo zitathibitisha uwepo wa MUNGU, na wengi watamwamini na hakuna atakayeweza kumpinga . na atauwawa ili kumzuia na kanuni zake hizo.
Na mpaka leo hii nchini marekani watoto wengi wa kiume waliozaliwa tarehe hiyo wamepewa jina hilo...JAYNOU OLIVER BECK
Na mtu huyo alijinadi sana na kusema yeye ni time traveller(msafiri wa nyakati) ....
Unaweza kugoogle mtandaoni kupitia jina hilo kupata habari zake zaidi.