Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,627
Sasa jamani afanyeje mkoloni wa watu, amesha tubu! wakati mwingine hawa wakoloni muwe mnawaulumia, km binadamu vinginevyo na wewe ni Mkoloni mweusi tu.Huo ni unafiki tu wa wanasiasa, sema sisi Waafrika tutashangilia na kuona anajali kumbe anatung'ong'a tu........