Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Kwa taarifa,
Rais wa Liberia, Mhe. Ellen Johnson Sirleaf, anawasili nchini leo mchana mida ya saa nane hivi. Atapokelewa na JK (mwenyeji wake na kuelekea "White House", katika dhifa iliyoandaliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)
Kesho atahutubia pale UDSM, "The Role Of Women In Africa Development" (Majukumu ya Wanawake katika Maendeleo ya Afrika)
Keshokutwa atakuwa Arusha, akitembelea kiwanda cha vyandarua katika kiwanda cha A to Z
Ziara yake ni ya kiserikali (Kikazi).
:behindsofa:
Bush alienda kiwanda cha neti.
Huyu naye kiwanda cha neti.
Hivi kunasiri gani arusha kiwanda cha neti cha A to Z.