Historia ya uongozi ya Liberia ni historia ya uongozi wa kiukoo zaidi na hiki kwa anayejua si cha kushangaa..nasikitika tu kwa baadhi ya watu kuingiza ushabiki kwenye hili kwa kufananisha na Tanzania.
Haitowezekana kwa tanzania ya leo mtu aweke watoto wake ngazi za juu Benki kuu, SHirika la Mafuta, na Usalama wa taifa. Hii ni moja wapo wa lasting legacy ya Nyerere, hakutaka kakikundi fulani, na watu wa aina fulani wahodhi madaraka makubwa sehemu nyeti za uongozi na kwa msimamo huo nepotism ikawa imepigwa risasi ya kichwa. inawezekana bwana Nepotism anarecover haswa ngazi za chini za kiserikali , lakini bado hatuwezi kujilinganisha na vinchi kama hivi hata kama tuna chuki binafsi na Jk au CCM, tanzania hatuna hizi low standards za kazi za kitaifa.
Halafu tunashangilia kumsimamisha kazi kwa kutotangaza nafikiri tungejifunza zaidi kama angemsimamisha kazi kwa kutangaza mali za uongo. hii ingeleta maana zaidi kuliko hiki kiini macho.
mleta mada hii ni displaced topic hatuna cha kujifunza hapo
Haitowezekana kwa tanzania ya leo mtu aweke watoto wake ngazi za juu Benki kuu, SHirika la Mafuta, na Usalama wa taifa. Hii ni moja wapo wa lasting legacy ya Nyerere, hakutaka kakikundi fulani, na watu wa aina fulani wahodhi madaraka makubwa sehemu nyeti za uongozi na kwa msimamo huo nepotism ikawa imepigwa risasi ya kichwa. inawezekana bwana Nepotism anarecover haswa ngazi za chini za kiserikali , lakini bado hatuwezi kujilinganisha na vinchi kama hivi hata kama tuna chuki binafsi na Jk au CCM, tanzania hatuna hizi low standards za kazi za kitaifa.
Halafu tunashangilia kumsimamisha kazi kwa kutotangaza nafikiri tungejifunza zaidi kama angemsimamisha kazi kwa kutangaza mali za uongo. hii ingeleta maana zaidi kuliko hiki kiini macho.
mleta mada hii ni displaced topic hatuna cha kujifunza hapo