WANGECI WA NGUGI
Member
- Sep 13, 2021
- 67
- 69
Hii ni dhambi , na watailipiaWakati huo huo... ziara ya kwenda Kazuramimba kuangalia hali ya miundombinu ya barabara au hapo Mwamanimba kuona jinsi wakulima wa wanavyodhulumiwa mazao yao na bodi ya pamba imeshindikana! Mawaziri kazi yao kupiga porojo tu wanajua boss wao hawezi kufika site! Baraza la usalama UN litainua uchumi wa nchi na kuongeza ajira kwa vijana? Yaani kuna mambo yanatia hasira sana!View attachment 1942645View attachment 1942647
MagaidiMama ni raisi mwenye malengo ya kweli ya kutuletea maendeleo na uchumi imara, ila kuna wachumia tumbo na waroho wa madaraka wakataka kumuharibia mama mipango yake ili akwame, na hatimae baadae waje waseme kuwa raisi alishindwa kutuletea maendeleo, na kutatua changamoto zetu. Wanasiasa njaa hawa wakaja na mikakati ya ajabu ajabu kama vile kudai katiba mpya...
NILIJUA CHADOMO LAZIMA WATAFANYA SABOTAGE ONA SASA MIPICHA YA BURUNDI WANATUWEKEA HAPA VERY HOPELESS POLITICAL GANGSWakati huo huo... ziara ya kwenda Kazuramimba kuangalia hali ya miundombinu ya barabara au hapo Mwamanimba kuona jinsi wakulima wa wanavyodhulumiwa mazao yao na bodi ya pamba imeshindikana! Mawaziri kazi yao kupiga porojo tu wanajua boss wao hawezi kufika site! Baraza la usalama UN litainua uchumi wa nchi na kuongeza ajira kwa vijana? Yaani kuna mambo yanatia hasira sana!View attachment 1942645View attachment 1942647
Marais wote ambao nchi zao ni wanachama wa UN wanayohaki ya kuhutubia mikutano ya baraza kuu UN.Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa
Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote...
Kumbe Nyerere na mbwembwe zote hakuwahi kuhutubia baraza hilo la UN!Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa
Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote...
Samia Suluhu’s rise as the President of Tanzania has intensified the violent policies of her predecessor John Magufuli, who was regarded as one of the worst dictators of modern times...
Kumbe Nyerere na mbwembwe zote hakuwahi kuhutubia baraza hilo la UN!
10 September 2021
US FOREIGN AFFAIRS
Tanzanian Judiciary and President: Unacceptable Intermingled Institutions....
Hangaya apokelewe kwa mabango
Tatizo mnatangaza UGAIDI na UWEKEZAJI pamoja
Hapo mlikosea sana
Yani upewe msaada ujenge SGR? Mzungu sio fala kiasi hicho na ndiyo maana mwananchi ndo atajenga nchi yake mwenyewe! Unafikiri USA atakupa hela uje umlipe Mturuki? Karogwa au?Mama We Wish you all the best,
Katafute misaada ulete tujenge SGR
Tanzania kwa sasa mahakama iko Huru sana,
Tutarajie haki pande zote,
Nahaki sio lazima chadema washinde,