moyo wenye aman i
Senior Member
- Nov 12, 2019
- 176
- 291
Mama yuko pouwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MARAIS WA AFRICA NA SAFARI ZA NJE
MARAIS WA AFRICA NA SAFARI ZA NJE
MARAIS WA AFRICA NA SAFARI ZA NJE
Rais uhuru kenyatta wa kenya aliingia kwenye madaraka mwaka 2013/2014 akiwa rais wa awamu ya nne wa kenya
Akiwa rais kwa awamu ya kwanza ya urais alisafiri nje mara ya kenya mara 56
Miezi hii ya uhuru kenyatta amesafiri mara kumi na tatu
Mpaka sasa huyu rais wa kenya amesafiri zaidi ya mara mia moja 100 kwenda nje ya nchi ya kenya
Raisi uhuru kenyatta amemuzidi
Rais daniel arap moyo kusafiri nje ya nchi ambaye yeye alitawala miaka 24 huku yeye huu mwaka wake wa 8 -9
Mwaja 2019 rais KAGAME amesafiri kwenda nje ya nchi mara 59 na kumzidi waziri mkuu wa uingereza borrison johson ambaye amesafiri kwa huo mwak mara 3 tu safari za kagame za nje ya nchi zina zidi zile za rais obama katika maiak yake yote ya utawala akiwa alitawala miaka 8
Akasafiri kwenda nje mara 55 hapo 2019 kagame amesafiri nje ya nchi mara nyingi kuliko obama kwa mwaka 2019
Mwaka 2018 kagame alisafiri mara 34
Mwaka huu waziri mkuu wa uingereza borrison johnson amesafiri mara moja tu kwenda nje ya nchi
Raisi wa marekani Joe badden amesafiri kwenda nje ya nchi mara tatu toka awe rais wa marekani
Rais wa tanzania kwa mujibu wa katiba ya tanzania aliingia madaraki mwezi wa 3 tangia aingie madarakani amefanya safari za mara tisa 9 huku ana miezi sita tu ya utwala
Nadhani umejifunza kitu hapo nchi nyingi za africa hazina watu wa kuziongoza ila zina watembezi
Mfano ziara za uhuru kenyatta zina jenga shule za msingi zaidi kumi nane zile za kageme hatari sasa kwa kiwango cha kawaida darasa moja milion 20 safari ya rais moja ina zaidi ya million 4 za kenya
MARAIS WA AFRICA NA SAFARI ZA NJE
Rais uhuru kenyatta wa kenya aliingia kwenye madaraka mwaka 2013/2014 akiwa rais wa awamu ya nne wa kenya
Akiwa rais kwa awamu ya kwanza ya urais alisafiri nje mara ya kenya mara 56
Miezi hii ya uhuru kenyatta amesafiri mara kumi na tatu
Mpaka sasa huyu rais wa kenya amesafiri zaidi ya mara mia moja 100 kwenda nje ya nchi ya kenya
Raisi uhuru kenyatta amemuzidi
Rais daniel arap moyo kusafiri nje ya nchi ambaye yeye alitawala miaka 24 huku yeye huu mwaka wake wa 8 -9
Mwaja 2019 rais KAGAME amesafiri kwenda nje ya nchi mara 59 na kumzidi waziri mkuu wa uingereza borrison johson ambaye amesafiri kwa huo mwak mara 3 tu safari za kagame za nje ya nchi zina zidi zile za rais obama katika maiak yake yote ya utawala akiwa alitawala miaka 8
Akasafiri kwenda nje mara 55 hapo 2019 kagame amesafiri nje ya nchi mara nyingi kuliko obama kwa mwaka 2019
Mwaka 2018 kagame alisafiri mara 34
Mwaka huu waziri mkuu wa uingereza borrison johnson amesafiri mara moja tu kwenda nje ya nchi
Raisi wa marekani Joe badden amesafiri kwenda nje ya nchi mara tatu toka awe rais wa marekani
Rais wa tanzania kwa mujibu wa katiba ya tanzania aliingia madaraki mwezi wa 3 tangia aingie madarakani amefanya safari za mara tisa 9 huku ana miezi sita tu ya utwala
Nadhani umejifunza kitu hapo nchi nyingi za africa hazina watu wa kuziongoza ila zina watembezi
Mfano ziara za uhuru kenyatta zina jenga shule za msingi zaidi kumi nane zile za kageme hatari sasa kwa kiwango cha kawaida darasa moja milion 20 safari ya rais moja ina zaidi ya million 4 za kenya
Mama ni raisi mwenye malengo ya kweli ya kutuletea maendeleo na uchumi imara, ila kuna wachumia tumbo na waroho wa madaraka wakataka kumuharibia mama mipango yake ili akwame, na hatimae baadae waje waseme kuwa raisi alishindwa kutuletea maendeleo, na kutatua changamoto zetu. Wanasiasa njaa hawa wakaja na mikakati ya ajabu ajabu kama vile kudai katiba mpya, huku wakificha za kwao zinazowapa uwezo wa kuwatawala mazombi yao, nyumbu wao na wasomi uchwara wa vyama vyao kwa muda usiojulikana. Pia lengo lingine ilikuwa ni kumtoa raisi katika mambo muhimu anayopanga kuyafanya kwa faida ya nchi yetu, kama vile kutumia hela za tozo na kodi za watanzania kujenga shule kwa ajili ya kurahisisha upatikanaji wa elimu kwa watoto wetu, hospital kwa ajili ya kuturahisishia huduma za afya kwetu na kwa watoto wetu, barabara na maendeleo mengine mbali mbali. Wanasiasa hawa uchwara na waliofilisika ki mawazo na hoja walihitaji raisi aache mambo hayo ya msingi na badala yake hela hizo zielekezwe kwenye vikao vya katiba, na hatimae ziwafaidishe wao na familia zao huku wananchi ambao hawajitambui wakiendelea kurubuniwa na wanasiasa hao wachovu.
View attachment 1942650
Mkuu inabidi ifike kipindi tuwe wa kweli hata kama ukweli huo unauma.Umeongea kweli tu,
naunga mkono 100%
Hii lugha hii!ITS IS A PROUDS TO TANZANIA,ALL THE BEST JOURNEY MADAM,WE SHALL MISS YOU.....!
Utopolo huoTanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa
Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote,
Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,
Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)
Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,
NINI MATARAJIO YAKO ?!
View attachment 1942495
Tena kutoka pemba, its a pleasure kwa kweliTanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa
Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote,
Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,
Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)
Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,
NINI MATARAJIO YAKO ?!
View attachment 1942495
tuna mfumo mzuri sana mataifa wanauelewa ila wewe tu kwakuwa unachukiyako binafsi ndiyo maana unaona hivyoMfumo wetu mbovu una muwekea Giza nyota yake ingeng'aa Sana Kama isingekuwa mainland bureaucracy
We mpuuzi achana namimi ndio maana nimemshauri Erythrocyte e kule kwenye makovu ya walioshtakiwa na mbowe asikujibu so achana na post zangutuna mfumo mzuri sana mataifa wanauelewa ila wewe tu kwakuwa unachukiyako binafsi ndiyo maana unaona hivyo