Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,675
- 106,781
Nyie ndio hua mnahadithia watoto zenu eti mlienda hivo shule
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Nyie ndio hua mnahadithia watoto zenu eti mlienda hivo shule
Anayatunza utafikiri ni maandaziSi ndio hapo sasa lakini yeye anakuwa anawakataza wenzake tu
Labda wao mie nilikwenda na school busNyie ndio hua mnahadithia watoto zenu eti mlienda hivo shuleView attachment 1031008
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ndio maana una akili sana mrembo
sawa
Huyu hana ukiboko wowote.Ni sawa na juhudi za watu wazima kujaribu kumtuliza mtoto mtukutu aliyeshika panga ili kumpokonya kistaarabu na kuepusha madhara makubwa tu.Umiliki wa silaha za nyuklia si mzuri na haufai kwa nchi yoyote kuwa nazo.Ila walao kuna nchi ambazo,matumizi ya baadhi ya silaha (na hata uanzishwaji tu wa vita) hadi kuidhinishwa,ni mlolongo mrefu na mgumu na hauumpi kiurahisi mamlaka rais wa nchi kutumia ukuu wake kimihemko tu.Kwa upande wa pili,kuna nchi ambazo mifumo yao si tu kuwa,rais anaweza kudeka hata kuua mjomba wake hadharani,lakini pia akiamka aweza kuamua kila mwanaume anyoe staili gani,na wanawake waweje-Hizi nchi,ndio zastahili kuwa za kwanza kabisa kwenye list ya kuzuiwa umiliki wa silaha kwani ndizo nchi hatari zaidi.Hashindwi kuamka asubuhi na kujiamulia lifyatuliwe tu kuelekea upande alioamkia vibaya.Atakayehoji nae ni mhanga wa kwanza kushughulikiwa hadharani kwa kunyongwa kwa silaha ya kutungulia ndege.Baada ya vinchi vya kibedui kama hivi,ndipo hatimae zifuate zingine kama USA,Urusi n.k..Hakuna mzuri katika hili,ila kuna kuzidiana ubaya kimifumo na uongozi kuhusu silaha zenyewe.Kim ndo kiboko ya mashoga wote, kuanzia Tel Aviv, London hadi Washington DC.
Hahaa hivyo hivyo mkuuYaani unapozungumzia treni huko Korea usiweke kabisa muktadha wa treni za bongo
Yeye ni Baba wa Dunia,so lazima awe nazo kuwapunguza axis of evilsKama USA anapenda amani angeanza yeye Kwanza kuharibu silaha zake kama kielelezo
Frank Wanjiru