Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
JK akipokea ujumbe toka kwa Rais Mwai Kibaki wa Kenya leo Ikuku Dar uliowasilishwa kwake na Mwakilishi wa Rais Mwai kibaki Bwana Githae ambaye pia ni waziri
TrueWe unataka uambiwe nini? Kinachoendelea nchini wakijua na kama kuna ujumbe unafika kwake toka kwa viongozi wenzake ni dhahiri ushauri kama si mtazamo wao kwa yanayoendelea kama si ushirikiano wa kimataifa.
Kilicho ndani ya bahasha ni siri yake Kikwete