sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Nianze uzi wangu kwa kumpongeza Rais wa kenya ndgu uhuru Kinyata kwa kusaini mkataba na nchi ya china kwa ajili ya kuuza TIKITI, HAYO NI MATUNDA YA ZIARA YA rais huyo nchini kenya.
Swali fikirishi Rais wangu alipoenda Malawi na kufungua MSIMU WA TUMBAKU,je manufaa ya ziara yake nchini Malawi ni zipi?
Ni mhm tukawa na utaratibu wa kutafakali faida za ziara za viongozi wetu hapa nchini hasa hawa wa AfricA.
Nije kwenye hoja,tangu Rais aingie madarakani amekuwa akifuta sherehe mbalimbali za kitaifa,ili pengine yeye huwa haoni umuhimu wowote wa sherehe hizo lakini je tuulizane elimu dhidi ya muungano imetolewa vyakutosha nchini Tanzania?
Je hatuoni umuhimu wa kutoa elimu kwa vijana wetu ili kuuendeleza kuulinda muungano wetu?
Moja ya kitu ambacho,kimekuwa kikiwajenga watt wetu waujue muungano ni sherehe hizo,kwani kupitia sherehe hzo watt wetu wa alaiki huwa wanapT kujifunza maana ya muungano kivitendo.
Tunapofuta sherehe hizi za muungano tufikilie njia ambayo itatusaidia kutoa elimu ya muungano kwa watt wetu.
Salamu zangu kwenu watawala na si viongozi.
Swali fikirishi Rais wangu alipoenda Malawi na kufungua MSIMU WA TUMBAKU,je manufaa ya ziara yake nchini Malawi ni zipi?
Ni mhm tukawa na utaratibu wa kutafakali faida za ziara za viongozi wetu hapa nchini hasa hawa wa AfricA.
Nije kwenye hoja,tangu Rais aingie madarakani amekuwa akifuta sherehe mbalimbali za kitaifa,ili pengine yeye huwa haoni umuhimu wowote wa sherehe hizo lakini je tuulizane elimu dhidi ya muungano imetolewa vyakutosha nchini Tanzania?
Je hatuoni umuhimu wa kutoa elimu kwa vijana wetu ili kuuendeleza kuulinda muungano wetu?
Moja ya kitu ambacho,kimekuwa kikiwajenga watt wetu waujue muungano ni sherehe hizo,kwani kupitia sherehe hzo watt wetu wa alaiki huwa wanapT kujifunza maana ya muungano kivitendo.
Tunapofuta sherehe hizi za muungano tufikilie njia ambayo itatusaidia kutoa elimu ya muungano kwa watt wetu.
Salamu zangu kwenu watawala na si viongozi.