The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuka wanajamvi!
Rais wa Iran Hassan Rouhani ana mpango wa kuishtaki 'TBC' ya Iran Iran Broadcasting Corporation (IRIB),kwa kumtukana na kumkosea heshima.
Rais huyo ambaye anafahamika kwa upole amekereka sana na kuhuzunika baada ya kuambiwa eti anatumia na kuvuta madawa ya kulevya akiwa nyumbani kwake hadi mawaziri wake wanashindwa kuonana naye.
Hayo yalisemwa na mkufunzi na mrengo mkali wa Kiislamu anayeheshimika sana Iran na pia mshauri wa serikali Ahmed Jahan Bozorgi alipokuwa anahojiwa na TV iyo ya taifa. Lakini baadaye kukana kwa haraka.
Mkufunzi huyo pia alilalamika vikali kwa nini Rais Rouhani ana urafiki na Joe Biden na analegeza sana mitandao ya kijamii.
Wanadai rais Rouhani ni 'softi' sana. Na Hizi ni harakati za 'hardliners' kufanikisha Rouhani harudi tena kuwa rais.
General Qassem Soulaymane aliyeuliwa na makombora ya drones ya Marekani ndie aliyeandaliwa na kuungwa mkono kumrithi Rouhani kwenye uchaguzi mkuu ujao na kuungwa mkono na wenye mrengo wa siasa kali.
Kuna msemo wa Rouhani unaheshimika sana EYES ARE THE MIRRORS OF THE SOUL!
Source: Aljzeera and The Telegraph
Rais wa Iran Hassan Rouhani ana mpango wa kuishtaki 'TBC' ya Iran Iran Broadcasting Corporation (IRIB),kwa kumtukana na kumkosea heshima.
Rais huyo ambaye anafahamika kwa upole amekereka sana na kuhuzunika baada ya kuambiwa eti anatumia na kuvuta madawa ya kulevya akiwa nyumbani kwake hadi mawaziri wake wanashindwa kuonana naye.
Hayo yalisemwa na mkufunzi na mrengo mkali wa Kiislamu anayeheshimika sana Iran na pia mshauri wa serikali Ahmed Jahan Bozorgi alipokuwa anahojiwa na TV iyo ya taifa. Lakini baadaye kukana kwa haraka.
Mkufunzi huyo pia alilalamika vikali kwa nini Rais Rouhani ana urafiki na Joe Biden na analegeza sana mitandao ya kijamii.
Wanadai rais Rouhani ni 'softi' sana. Na Hizi ni harakati za 'hardliners' kufanikisha Rouhani harudi tena kuwa rais.
General Qassem Soulaymane aliyeuliwa na makombora ya drones ya Marekani ndie aliyeandaliwa na kuungwa mkono kumrithi Rouhani kwenye uchaguzi mkuu ujao na kuungwa mkono na wenye mrengo wa siasa kali.
Kuna msemo wa Rouhani unaheshimika sana EYES ARE THE MIRRORS OF THE SOUL!
Source: Aljzeera and The Telegraph