Rais wa Iran akutana na balozi wa Vatican mjini Tehran

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,990
17,878
Raisi: Kuna udharura kwa jamii ya mwanadamu hii leo kumtilia maanani Mwenyezi Mungu na umaanawi

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kutoa mazingatio kwa Mola Muumba na suala la umanaawi ni jambo la udharura mkubwa hii leo kwa jamii ya mwanadamu.

Rais Sayyid Ebrahim Raisi amesisitiza leo Jumanne wakati akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Andeji Yusovic Balozi Mpya wa Vatican hapa Tehran kwamba, ni jambo la dharura hii leo kwa jamii ya mwanadamu kutoa mazingatio kwa Mola Muumba na suala la umaanawi; na kwamba kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani ni nukta zinazotukutanisha pamoja dini za mbinguni ambazo zinaagiza kuwepo umoja na mshikamano kati yetu.

Ameongeza kuwa wale wanaodhulumu na kufanya ukandamizaji duniani hii leo kama wangezingatia mafundisho ya Nabii Isa Masih (a.s) wasingeweza kutenda dhulma hizo; na Vatican inaweza kuwa na nafasi na mchango muhimu katika uwanja huo.

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameongeza kuwa, mafundisho ya dini ya Ukristo na kile alichotufunza Mtume Mtukufu wa Uislamu (s.a.w) yanapasa kujadiliwa katika vikao vya kielimu ili kukurubisha zaidi mitazamo baina yetu.

4by76b637ee53b1z8g2_800C450.jpg
 
Raisi: Kuna udharura kwa jamii ya mwanadamu hii leo kumtilia maanani Mwenyezi Mungu na umaanawi

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kutoa mazingatio kwa Mola Muumba na suala la umanaawi ni jambo la udharura mkubwa hii leo kwa jamii ya mwanadamu.

Rais Sayyid Ebrahim Raisi amesisitiza leo Jumanne wakati akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Andeji Yusovic Balozi Mpya wa Vatican hapa Tehran kwamba, ni jambo la dharura hii leo kwa jamii ya mwanadamu kutoa mazingatio kwa Mola Muumba na suala la umaanawi; na kwamba kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani ni nukta zinazotukutanisha pamoja dini za mbinguni ambazo zinaagiza kuwepo umoja na mshikamano kati yetu.

Ameongeza kuwa wale wanaodhulumu na kufanya ukandamizaji duniani hii leo kama wangezingatia mafundisho ya Nabii Isa Masih (a.s) wasingeweza kutenda dhulma hizo; na Vatican inaweza kuwa na nafasi na mchango muhimu katika uwanja huo.

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameongeza kuwa, mafundisho ya dini ya Ukristo na kile alichotufunza Mtume Mtukufu wa Uislamu (s.a.w) yanapasa kujadiliwa katika vikao vya kielimu ili kukurubisha zaidi mitazamo baina yetu.


Ukristu na uislamu utaendelea kuishi pamoja mpaka mwisho wa nyakati. Kama zile crusade zote zilishindwa kumaliza dini moja au nyingine, kuvaa mabomu na kujilipua sio suluhisho. Na anayefikiria kuwa atakutana na mabikira 70 kifala hivyo, anapoteza muda wake.
Tutendeane mema. Tumpende Mwenyezi Mungu aliyetuumba na atakayetuhukumu. Tupendane sisi wenyewe kama majirani ambao tunategemeana. Vinginevyo, ni kujilisha upepo
 
Raisi: Kuna udharura kwa jamii ya mwanadamu hii leo kumtilia maanani Mwenyezi Mungu na umaanawi

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kutoa mazingatio kwa Mola Muumba na suala la umanaawi ni jambo la udharura mkubwa hii leo kwa jamii ya mwanadamu.

Rais Sayyid Ebrahim Raisi amesisitiza leo Jumanne wakati akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Andeji Yusovic Balozi Mpya wa Vatican hapa Tehran kwamba, ni jambo la dharura hii leo kwa jamii ya mwanadamu kutoa mazingatio kwa Mola Muumba na suala la umaanawi; na kwamba kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani ni nukta zinazotukutanisha pamoja dini za mbinguni ambazo zinaagiza kuwepo umoja na mshikamano kati yetu.

Ameongeza kuwa wale wanaodhulumu na kufanya ukandamizaji duniani hii leo kama wangezingatia mafundisho ya Nabii Isa Masih (a.s) wasingeweza kutenda dhulma hizo; na Vatican inaweza kuwa na nafasi na mchango muhimu katika uwanja huo.

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameongeza kuwa, mafundisho ya dini ya Ukristo na kile alichotufunza Mtume Mtukufu wa Uislamu (s.a.w) yanapasa kujadiliwa katika vikao vya kielimu ili kukurubisha zaidi mitazamo baina yetu.

Hawa wa kwa Manzese nani aliwafundisha hakuna ukristo. Huyo kufundishwa na nani kuna ukristo!
 
Kama RC imeanza kuingia kwenye nchi za kiislama soon ukristo utaenea kwa kasi katika nchi hizo na wengi watakombolewa kutoka katika vifungo vya shetwani..

Jina lake Yesu lihimidiwe..injili sasa inaenea kwa kasi kuashiria ujio wake mara ya pili.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama RC imeanza kuingia kwenye nchi za kiislama soon ukristo utaenea kwa kasi katika nchi hizo na wengi watakombolewa kutoka katika vifungo vya shetwani..

Jina lake Yesu lihimidiwe..injili sasa inaenea kwa kasi kuashiria ujio wake mara ya pili.

#MaendeleoHayanaChama
Vatican ni nchi yenye uwakilishi. Aliyepo pale ni balozi wala sio askofu mkuu na hata hivyo ni lini ulisikia kuna marufuku ya Ukristo nchini Iran. Au wapi uliskia kuna marufuku ya Uislamu duniani
 
Back
Top Bottom