Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakielekezwa wabishi kuelewa huzani wanajua kula kitu. AnastahirKwwnini unamtukana mwenzako.. huoni wewe ndio huna akili maana kama kuna kitu hajui au amekosea ungekuja ukampinga kwa hoja na kumwambia ukweli ni upi? hivi tukoje watanzania?
Kuna mtu anaye onesha dalili za kusaidiwa lakini wengine kabla hujamsaidia yeye anajuaKwwnini unamtukana mwenzako.. huoni wewe ndio huna akili maana kama kuna kitu hajui au amekosea ungekuja ukampinga kwa hoja na kumwambia ukweli ni upi? hivi tukoje watanzania?
Ukifuatilia kiundani utaona kuna asilimia kubwa ya speech ya rais wa dunia kakopi na kupesiti. View attachment 462475 View attachment 462476
Hapa sijui bwana huyu hajui kuwa copy and paste unaonekana huna jipya. Sijui wadau mnalionaje hilo.[/QUOTE
..”KOLA-LILI-LYO”.. (kalia hilo hilo)
Kwahiyo unafikiri Trump hanauwezo wa kufikiri na kusema toka kwa mawazo yake?Ukifuatilia kiundani utaona kuna asilimia kubwa ya speech ya rais wa dunia kakopi na kupesiti. View attachment 462475 View attachment 462476
Hapa sijui bwana huyu hajui kuwa copy and paste unaonekana huna jipya. Sijui wadau mnalionaje hilo.