Rais wa chama cha wauguzi asema kuna wauguzi wameambukizwa Corona na wengine wako kwenye Karantini

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,878
141,811
Rais wa chama cha wauguzi Tanzania Mr. Alexander Baluhya amesema kuna wauguzi kadhaa wameambukizwa Corona lakini hawezi kutaja idadi kwa sababu yeye siyo msemaji wa serikali.

Akijibu swali la mtangazaji Hassan Ngoma aliyetaka kujua hadi sasa ni wauguzi wangapi wameambukizwa na kufa kwa Corona Alexander amesema maambukizi yapo ila suala la vifo msemaji ni Waziri Mkuu au Waziri wa Afya.

Chanzo:Clouds 360
 
Iseee...ukweli ni jambo jema sana wawakinge vizuri wahudumu hawa waliopo front line...wakipuputika tutaisha wote.
 
Kuna kampeni zinaendelea za kuchangisha vifaatiba kwa ajili ya wauguzi wetu kumbe kuna wengine wameshaambukizwa, na inawezekana kuna vifo pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿโšฐ๏ธ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
 
Back
Top Bottom