Rais wa Chad/Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika alifata nini nchini?

Kisu Cha Ngariba

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
22,138
48,806
Rais wa Chad/Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika aliwasili nchini juzi alhasiri na kupokelewa na Rais Magufuli. Rais huyo alienda moja kwa moja Ikulu kuzungumza na mwenyeji wake Rais Dkt. Magufuli.

Kuonyesha ujumbe huo ulikua wa haraka sana,Rais wa Chad/Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika alizungumza na Rais Dkt. Magufuli kwa mda usiozidi masaa mawili.

Jana jioni Rais wa Zanzibar aliwasili nchini na kwenda moja kwa moja ikulu. Mpaka sasa hatujaelezwa dhumuni la ujio wa Rais wa Zanzibar.

Je Rais Dkt. Magufuli aliongea nini na Rais wa Chad/Mwenyekiti wa Umoja wa Africa?
Je kuna ujumbe aliopewa Rais Dkt. Magufuli ampe Rais wa Zanzibar?

Anaejua,mwenye fununu naomba atujuze.
 
IMG_20161128_172351.jpg
 
Kuna ajenda ya kupiga kura AU........Morocco wanataka kurudi.......labda wakubwa hawataki!!!
 
Mkuu hile ziara ilikua ya ghafla sana na awajaweka wazi ni nini kiliongelewa.
Ndio maana ninasema pengine alikuja kwa ajili ya mambo mengine lakini siyo hilo unalolifikiri.

Ni nchi nyingi sana Afrika zilizopindua matokeo ya uchaguzi na hazikufanywa chochote, kwa hiyo sishangai wao kukaa kimya kuhusu mambo ya kule kisiwani.
Hata mimi nilijiuliza alijia nini? sikupata jibu maana sijui Tanzania na Chad wanashirikiana kwenye nini na kwa namna gani?
 
Ndio maana ninasema pengine alikuja kwa ajili ya mambo mengine lakini siyo hilo unalolifikiri.

Ni nchi nyingi sana Afrika zilizopindua matokeo ya uchaguzi na hazikufanywa chochote, kwa hiyo sishangai wao kukaa kimya kuhusu mambo ya kule kisiwani.
Hata mimi nilijiuliza alijia nini? sikupata jibu maana sijui Tanzania na Chad wanashirikiana kwenye nini na kwa namna gani?

Bado ni kizungumkuti na hawasema mpaka sasa.
 
Bongo tumehongwa uwanja wa mpira mkoani Dodoma ili tupigie debe morroco kurudi umoja wa Africa ndo derby kaja kupanga magarasa mapema isijekuwa aibu kikaoni
 
May be alikuja kumwongezea uoga wa kusafiri rais wetu. Hata Monduli ameogopa kwenda na itafika siku ataogopa hata kutoka nje ya lango la Ikulu. Rais atafute washauri optimistic ili wamjengee ujasiri
 
Mpaka sasa haijaeleweka si mikataba wala chochote, labda tusubiri.. Bwihi..! Bwihi..!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom