Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye awasili nchini Tanzania kuanza Ziara ya siku 3

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,188
4,100
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye, amewasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku (3) kuanzia leo tarehe 22 hadi 24 Oktoba, 2021.

Mhe. Ndayishimiyeamepokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, Jijini Dodoma.

Atatembelea na kuweka Jiwe la Msingi katika Kiwanda cha kuzalisha Mbolea ya Asili kinachojengwa Nala, Dodoma.




IMG_20211022_162029_538.jpg


IMG_20211022_162032_879.jpg


IMG_20211022_162036_188.jpg
 
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye, amewasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku (3) kuanzia leo tarehe 22 hadi 24 Oktoba, 2021.

Mhe. Ndayishimiyeamepokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, Jijini Dodoma.

Atatembelea na kuweka Jiwe la Msingi katika Kiwanda cha kuzalisha Mbolea ya Asili kinachojengwa Nala, Dodoma.

Kwaio anakuja kukagua na kuzindua miradi ya TZ?

Nlijua wangezindua joint projects za nchi mbili, sa kiwanda cha mbolea kinamuhusu nini? au ndio kuextend ziara. Kwa wenzetu haya mambo huyaoni
 
Kwaio anakuja kukagua na kuzindua miradi ya TZ?

Nlijua wangezindua joint projects za nchi mbili, sa kiwanda cha mbolea kinamuhusu nini? au ndio kuextend ziara. Kwa wenzetu haya mambo huyaoni
Faida zipo nyingi kwetu na Burundi kuwa na ushirikiano, tete a` tete huzungumzwa mengi ya ushirikiano baina ya nchi.
 
Ushirikiano wanazungumzia uwanjani au Ikulu? Sibora ampeleke kwenye mamiradi makubwa? unamuonesha kiwanda cha mbolea ambacho hata mbunge angekizindua?
Mkuu kiwanda hiki kimejengwa na wawekezaji kutoka Burundi hivyo imeonelewa ni vema Rais wao akakizindua pia.
 
Naona kapewa heshima ya kuletwa na kutumia ndege yetu ya Rais, G550 kipindi chote cha ziara na kumrudisha. Tanzania huwa ni wakarimu sana kongole kwetu
Kote huyu akienda hutumia ndege za wenyeji, Uganda alipoenda alitumia Air Uganda.
 
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye, amewasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku (3) kuanzia leo tarehe 22 hadi 24 Oktoba, 2021.

Mhe. Ndayishimiyeamepokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, Jijini Dodoma.

Atatembelea na kuweka Jiwe la Msingi katika Kiwanda cha kuzalisha Mbolea ya Asili kinachojengwa Nala, Dodoma.


Hamna Jipya!
 
Back
Top Bottom