Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,438
- 3,333
Kupitia chaneli ya Taifa, Rais Jair Bolsonaro (65) ametangaza kupata maambukizi ya #CoronaVirus baada ya kufanyiwa vipimo kwa mara ya nne siku ya Jumatatu kufuatia kuonesha dalili za ugonjwa huo
Bolsonaro amekuwa mara kwa mara akipuuza ugonjwa huo huku akiuita ni mafua madogo ya kawaida na kudai hawezi kuathirika kwa kiwango kikubwa na virusi hivyo
Aprili mwaka huu alisema "Hata nikiambukizwa virusi hivyo sitakuwa na wasiwasi kwasababu sitahisi chochote kwa maana itakuwa kama mafua madogo"
Aidha, mara kadhaa ameingia kwenya mgogoro na Magavana akiwashinikiza kulegeza masharti ya 'lockdown' na pia jana alilegeza masharti ya kuvaa barakoa kwa wananchi
Brazil ambayo ni ya pili kwa maambukizi ya #CoronaVirus, hadi leo imeripoti visa 1,628,283 huku kukiwa na jumla ya vifo 65,631 na waliopona wakifikia 1,072,229
=========
Brazil's President Jair Bolsonaro has tested positive for coronavirus.
He took the test, his fourth, on Monday after developing symptoms, including a high temperature.
Mr Bolsonaro has repeatedly played down the risks posed by the virus, calling it "a little flu" and saying that he would not be seriously affected by it.
He has also urged regional governors to ease lockdowns, which he says hurt the economy, and on Monday he watered down regulations on wearing face masks.
Back in April, he said that even if he were to be infected with the virus, he would "not have to worry as I wouldn't feel anything, at most it would be like a little flue or a little cold".
When he made the remark, the number of Covid-19-related deaths was still under 3,000 and the number of infections was around 40,000.
But the numbers have skyrocket since then. As of Monday, the number of deaths was over 65,000 and infections were over 1.6m, second only to the United States.
Despite the rising numbers, President Bolsonaro has argued that regional lockdowns are having a more damaging effect than the virus itself, and accused the media of spreading panic and paranoia.
Bolsonaro amekuwa mara kwa mara akipuuza ugonjwa huo huku akiuita ni mafua madogo ya kawaida na kudai hawezi kuathirika kwa kiwango kikubwa na virusi hivyo
Aprili mwaka huu alisema "Hata nikiambukizwa virusi hivyo sitakuwa na wasiwasi kwasababu sitahisi chochote kwa maana itakuwa kama mafua madogo"
Aidha, mara kadhaa ameingia kwenya mgogoro na Magavana akiwashinikiza kulegeza masharti ya 'lockdown' na pia jana alilegeza masharti ya kuvaa barakoa kwa wananchi
Brazil ambayo ni ya pili kwa maambukizi ya #CoronaVirus, hadi leo imeripoti visa 1,628,283 huku kukiwa na jumla ya vifo 65,631 na waliopona wakifikia 1,072,229
Brazil's President Jair Bolsonaro has tested positive for coronavirus.
He took the test, his fourth, on Monday after developing symptoms, including a high temperature.
Mr Bolsonaro has repeatedly played down the risks posed by the virus, calling it "a little flu" and saying that he would not be seriously affected by it.
He has also urged regional governors to ease lockdowns, which he says hurt the economy, and on Monday he watered down regulations on wearing face masks.
Back in April, he said that even if he were to be infected with the virus, he would "not have to worry as I wouldn't feel anything, at most it would be like a little flue or a little cold".
When he made the remark, the number of Covid-19-related deaths was still under 3,000 and the number of infections was around 40,000.
But the numbers have skyrocket since then. As of Monday, the number of deaths was over 65,000 and infections were over 1.6m, second only to the United States.
Despite the rising numbers, President Bolsonaro has argued that regional lockdowns are having a more damaging effect than the virus itself, and accused the media of spreading panic and paranoia.