Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 322
- 645
Rais wa Brazili amemkemea vikali Rais wa Ufaransa ambaye aliandika kwenye tweet yake kuwa vikao vya G7 vinavyokaa wiki hii kuwe na ajenda ya moto unaounguza mistu ya amazoni.
Rais wa Ufaransa ambaye atakuwa mwenyeji wa mkutano huo anajaribu kuzishawishi nchi za G7 ziingize ajenda hiyo ya moto kwani mistu inaungua ambapo yeye anasema chanzo ni rais wa Brazili kuruhusu kukata miti. Rais wa Brazil amemjia juu kwa kusema kuingiza agenda hii kwenye mkutano wa nchi hizi kubwa duniani ni kuendeleza ukoloni. Amesema Brazil ni sovereignty state haipaswi kuingiliwa mambo yake.
My take: Tusiruhusu Mabeberu kutuamulia mambo yetu ya kufanya ambayo lengo lao ni kutukwamisha. Nchi zote duniani zinazoendelea zisikubali kuburuzwa.
Rais wa Ufaransa ambaye atakuwa mwenyeji wa mkutano huo anajaribu kuzishawishi nchi za G7 ziingize ajenda hiyo ya moto kwani mistu inaungua ambapo yeye anasema chanzo ni rais wa Brazili kuruhusu kukata miti. Rais wa Brazil amemjia juu kwa kusema kuingiza agenda hii kwenye mkutano wa nchi hizi kubwa duniani ni kuendeleza ukoloni. Amesema Brazil ni sovereignty state haipaswi kuingiliwa mambo yake.
My take: Tusiruhusu Mabeberu kutuamulia mambo yetu ya kufanya ambayo lengo lao ni kutukwamisha. Nchi zote duniani zinazoendelea zisikubali kuburuzwa.