ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,267
- 2,519
Habari za huko nyumbani,
Kwa wale mliokuwa mubashara kwenye runinga zenu nadhani mlioona kituko cha mwaka alichofanya Rais Jimenez Pablo Martinez wa hapa Bolivia baada ya kumpiga mkwara mkewe asichungulie kile alichokuwa anaandika kwenye kitabu chake.
Sasa najiuliza kama wakiwa mubashara mkwara ni ule, je huko faragha wakiwa wawili mambo huwa vipi?
Ndio vituko vya Marais wa huku ughaibuni, kama hujaona kituko hiko wala usitusumbue hapa jukwaani na si lazima uelewe kila kitu, nisalimieni sana huko nyumbani, nitarudi siku chache zijazo.
Wasalaam.
Kwa wale mliokuwa mubashara kwenye runinga zenu nadhani mlioona kituko cha mwaka alichofanya Rais Jimenez Pablo Martinez wa hapa Bolivia baada ya kumpiga mkwara mkewe asichungulie kile alichokuwa anaandika kwenye kitabu chake.
Sasa najiuliza kama wakiwa mubashara mkwara ni ule, je huko faragha wakiwa wawili mambo huwa vipi?
Ndio vituko vya Marais wa huku ughaibuni, kama hujaona kituko hiko wala usitusumbue hapa jukwaani na si lazima uelewe kila kitu, nisalimieni sana huko nyumbani, nitarudi siku chache zijazo.
Wasalaam.