Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,003
- 12,464
- Thread starter
- #21
OK, nadhani hili suala la maslahi kila nchi naona linashika kasi sana. Sasa bwana Kim inaonekana alitofautiana na USANafasi ya mkurugenzi wa Benk ya Dunia ni mali ya USA hakuna raia wa nchi nyingine anaruhusiwa kupata nafasi hiyo kama siyo raia wa USA. Hata Ulaya hawaruhusiwi, wao ya kwao ni ukurugenzi wa IMF tu.
Wakubwa walishagawana siku nyingi hayo mashirika. Sisi wamatumbi na wengine wa dunia tunaishia vyeo vya umeneja, ukurugenzi wa idara, mwakilishi wa banki nchi fulani au kanda fulani na unaibu tu.