Rais wa Angola Laurenco analipiza kisasi kwa aliyemtangulia Dos Santos siyo tu ufisadi bali mke wake kutembea na jamaa

The Stress Challengerr

JF-Expert Member
Jan 18, 2020
2,478
6,764
Mzuqa wanajamvi!

Kama mnavyojua yanayoendelea Angola sasa hivi ni kuandamwa kwa binti yake Rais mstaafu wa Angola Isabel Dos Santos pamoja na familia ya rais Dos Santos kwa ujumla kwa ufisadi.

Ki ukweli Joao Lourenco rais wa sasa Angola ana maumivu makali sana festledi mke wake alipokuwa Waziri wa mipango enzi za awamu ya Dos Santos na huyu Lourenco alikuwa Waziri wa ulinzi Dos Santos alikuwa akitembea naye sana.

Jamaa ilimuuma kichizi. Kama kuiba Lourenco naye kaiba sana tu na hata sasa anaendelea kuiba chini ya mwavuli wa uzalendo. Festledi kamjia juu rais kwanini anaawaandama sana Isabel na baba yake?

Waangola kwenye JF zao wanamdhihaki festledi anampenda bado dos santos kwasababu ya good time waliyokuwa nayo.

Kuna mgawanyiko mkubwa sana serikalini Luanda na tiss yao. Bado Dos Santos anaungwa mkono na watu wenye nguvu ambao wanadai kama kuiba wote tumeiba.

Licha ya kijana wa Dos Santos kuwa wachumba na binti ya Lourenco bado ti Lourenco amedhamiria kuteketeza kabisa familia ya joao edwardo dos Santos kisa papuchi.

Kinachowashangaza wengi ni jinsi rais Lourenco alivyobadilika ghafla Pah kwasababu aliaminika atawalinda.

Savimbi aliwaonya sana wa Angola na alitabiri yote haya nchi kutafunwa. Wakamuua. Sasa hivi anakumbukwa na wa Angola wengi kama shujaa.

Edwardo dos Santos yuko zake Madrid anakula good time na majopo ya changudoa kwenye swimming pool akila ice-cream. Pia siyo Muangola asili bali asili yake ni Sao Tome and Prinxcipe alikuja Angola akiwa mdogo.

Binti yake Isabel kipenzi chake alizaa namrusi.

Sasa hivi jamvi za JFza Angola zinachanganya kichiz

Senior chie JF International political correspondent

Self declared PhD holder
 
Savimbi gani huyo aliwaonya?
Huyu wa JF au yule wakwao hewa
Angola iko overrated sana my friend hakuna cha good time wala nini ni shida tu umasikini umetamalaki watu hawana umeme, maji shida, afya sisemi.
.
Huyu Rais wa sasa ananyoosha mambo ili waache kupika madata na kutumia fake face iliyoundwa na Santos, haki ukifika Angola nje ya Luanda utasema Tanzania ni Paradise iliyosahaulika natuna viongozi wabwatukaji ila bora
 
Yty
Savimbi gani huyo aliwaonya?
Huyu wa JF au yule wakwao hewa
Angola iko overrated sana my friend hakuna cha good time wala nini ni shida tu umasikini umetamalaki watu hawana umeme, maji shida, afya sisemi.
.
Huyu Rais wa sasa ananyoosha mambo ili waache kupika madata na kutumia fake face iliyoundwa na Santos, haki ukifika Angola nje ya Luanda utasema Tanzania ni Paradise iliyosahaulika natuna viongozi wabwatukaji ila bora
Aiseee chalii yangu basi hawa waAngola marafki zangu hapa waongo sana. Hakuna good time Angola. Hali ni mbaya hata kuliko enzi za dos santos. Dos santos anakula goodtime Madrid kwa mabilioni aliyoiba. Wanadai anapenda sana koni na AISKRIMU Kwanza rudisha avatar Picha yako uliyovaa kofia kama ya 50cent
 
Savimbi alikuwa shujaa. Alitaka rasimali zote ziwanufaishe wote. Pia alibarikiwa kuongea kifaransa kichina Kiingereza kijerumabi kwa ufasaha ukiachilia mbali kireno. Alionya na kutabiri dos santos na genge lake ni mchwa
Savimbi hakuwa na ushujaa wowote huyo alikuwa kibaraka wa mabeberu aliyetumiwa kuvuruga amani ya Angola na amani kwenye mataifa ya kusini mwa Africa.

Alipokuwa msituni kabla ya uhuru aliwahi kushirikiana na wakoloni wareno kuwashambulia wapigania uhuru (MPLA) hivyo huyo ni msaliti wa uhuru.

Baada ya uhuru alishirikiana na serikali ya makaburu ya Africa kusini iliyokuwa inaikalia kimabavu nchi ya Namibia kushambulia kambi za wapigania uhuru wa Namibia (PLAN) zilizokuwepo Angola. Huyo ni msaliti wa uhuru wa Africa.

Pia alishirikiana na Marekani wakati wa vita baridi kuendesha vita ya kikatili dhidi ya serikali halali ya MPLA kwa kisingizio cha kupigania demokrasia zaidi ya miaka 30 mpaka mwaka 2002 alipouawa.

Kuhusu Dos Santos na familia yake hasa huyo Isabela wanachopitia ni halali yao maana waligeuza nchi ni mali yao hivyo wanavuna walichopanda.
 
Proved,
Mkuu naon gea hapa na waangola wananiambia people did not understand Savimbi bfo but now they do he is like a hero.
Call-of-Duty.jpg
 
Savimbi alikuwa shujaa. Alitaka rasimali zote ziwanufaishe wote. Pia alibarikiwa kuongea kifaransa kichina Kiingereza kijerumabi kwa ufasaha ukiachilia mbali kireno. Alionya na kutabiri dos santos na genge lake ni mchwa

 
Yty

Aiseee chalii yangu basi hawa waAngola marafki zangu hapa waongo sana. Hakuna good time Angola. Hali ni mbaya hata kuliko enzi za dos santos. Dos santos anakula goodtime Madrid kwa mabilioni aliyoiba. Wanadai anapenda sana koni na AISKRIMU Kwanza rudisha avatar Picha yako uliyovaa kofia kama ya 50cent
Msalimie Jon Stephano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Savimbi hakuwa na ushujaa wowote huyo alikuwa kibaraka wa mabeberu aliyetumiwa kuvuruga amani ya Angola na amani kwenye mataifa ya kusini mwa Africa.

Alipokuwa msituni kabla ya uhuru aliwahi kushirikiana na wakoloni wareno kuwashambulia wapigania uhuru (MPLA) hivyo huyo ni msaliti wa uhuru.

Baada ya uhuru alishirikiana na serikali ya makaburu ya Africa kusini iliyokuwa inaikalia kimabavu nchi ya Namibia kushambulia kambi za wapigania uhuru wa Namibia (PLAN) zilizokuwepo Angola. Huyo ni msaliti wa uhuru wa Africa.

Pia alishirikiana na Marekani wakati wa vita baridi kuendesha vita ya kikatili dhidi ya serikali halali ya MPLA kwa kisingizio cha kupigania demokrasia zaidi ya miaka 30 mpaka mwaka 2002 alipouawa.

Kuhusu Dos Santos na familia yake hasa huyo Isabela wanachopitia ni halali yao maana waligeuza nchi ni mali yao hivyo wanavuna walichopanda.
Safi kwa mawazo yako,na maana ya mjadala sio kulazimisha maoni yako kwa wanamjadala wenzako,na kutofautiana kwenye mjadala ni kitu kizuri tu but FACTS zibakie hivyo,Mr.Savimbi(RIP)SIO kweli alikuwa kama ulivyomwandika wewe,Savimbi alikuwa mpigania uhuru wa kweli ndani ya Angola na alitoka MPLA baada ya kutofautiana kiitikadi na sio MPLA alone walioleta uhuru wa Angola,kupatikana kwa uhuru wa Angola ,Msumbiji kulichangiwa zaidi na kuporomoka kwa uchumi wa Ureno(wakoloni),pressure ya kimataifa na kidogo sana vita vya msituni vilivyoendeshwa na wazawa wa nchi hizo,elewa Dr.Savimbi alitambuliwa na hizi so called frontline countries za ukombozi na kulikuwa na mgawanyiko mkubwa sana kati ya President Kaunda na President Nyerere kuhusiana na uungaji mkono wa vyama hivi vya Angola,Dr.Savimbi aliungwa mkono kwa hali na mali na Zambia;vita ya Angola iliyoingiliwa na mataifa ya Kirusi,Cuba ,na RSA nayo ilisaidia sana kutokea kwa mwafaka wa uhuru wa Angola na Namibia na elewa kuwa ile vita upande wa RSA ndio ulioshinda kwenye uwanja wa medani(wakiwa na UNITA)n a kama ni msomaji wa vitabu tafuta kitabu cha JONAS SAVIMBI,A KEY TO AFRICA by FRED BRIGLAND,JISOMEE ili upate upande wa pili wa story kuhusu nchi hii.
 
Savimbi hakuwa na ushujaa wowote huyo alikuwa kibaraka wa mabeberu aliyetumiwa kuvuruga amani ya Angola na amani kwenye mataifa ya kusini mwa Africa.

Alipokuwa msituni kabla ya uhuru aliwahi kushirikiana na wakoloni wareno kuwashambulia wapigania uhuru (MPLA) hivyo huyo ni msaliti wa uhuru.

Baada ya uhuru alishirikiana na serikali ya makaburu ya Africa kusini iliyokuwa inaikalia kimabavu nchi ya Namibia kushambulia kambi za wapigania uhuru wa Namibia (PLAN) zilizokuwepo Angola. Huyo ni msaliti wa uhuru wa Africa.

Pia alishirikiana na Marekani wakati wa vita baridi kuendesha vita ya kikatili dhidi ya serikali halali ya MPLA kwa kisingizio cha kupigania demokrasia zaidi ya miaka 30 mpaka mwaka 2002 alipouawa.

Kuhusu Dos Santos na familia yake hasa huyo Isabela wanachopitia ni halali yao maana waligeuza nchi ni mali yao hivyo wanavuna walichopanda.
Hiki ulichoandika hapa ni ukweli mtupu.LIKE
 
Back
Top Bottom