Rais wa Afghanistan kakimbia nchi!

Kwanza nalaumu sana vyombo vya habari vya kiswahili sababu siku zote vimekuwa vya mwisho kwenye kuripoti habari kwa uharaka.


Talebani wako ndani ya ikulu ya Kabul wakikagua kagua.

🎥source: Aljazeera English

Kuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.


"Parliamentary governments were barred or overthrown, with US support and sometimes direct intervention, in Iran in 1953, in Guatemala in 1954 (and in 1963, when Kennedy backed a military coup to prevent the threat of a return to democracy), in the Dominican Republic in 1963 and 1965, in Brazil in 1964, in Chile in 1973 and often elsewhere. Our policies have been very much the same in El Salvador and in many other places across the globe" (Noam Chomsky- How the world works, p.18)
 
Af
Kuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.
Afu USA walikuwa wanasema badaa ya siku 90 nchi yote itakamatwa. Kumbe ni dk 0
 
Marekani na NATO wamechoka kupigana Vita,hua Ni wachumba Sana kwny Vita vya Muda mrefu.Miaka 20 wavaa makobasi wako wanapigana tu hawapoi,hawaboi.

Vietnam ilionyesha mfano,na Sasa Afghanistan imeandika historia Tena.

Tusubiri utawala wa sharia uanze hapo Afghanistan,wezi Kupigwa mawe,wazinzi kukatwa mikono,wanawake hakuna kutoka nje peke yao,lazima wavae hijabu, takbiir.
 
Marekani na NATO wamechoka kupigana Vita,hua Ni wachumba Sana kwny Vita vya Muda mrefu.Miaka 20 wavaa makobasi wako wanapigana tu hawapoi,hawaboi.

Vietnam ilionyesha mfano,na Sasa Afghanistan imeandika historia Tena.

Tusubiri utawala wa sharia uanze hapo Afghanistan,wezi Kupigwa mawe,wazinzi kukatwa mikono,wanawake hakuna kutoka nje peke yao,lazima wavae hijabu, takbiir.

Hapo sasa
 
Nimeangalia live watelaban wakiingia Kabul nimegundua mambo kadhaa:kwanza hawa jamaa wananidhamu ya juu mno,sikuona wakipora vitu au mali,hawana wenge la ushindi kushangilia au kuimba au kupiga risasi juu kufurahia ushindi.
Wanahabari wapo na wanachukua habari bila bugdha.
Nimegundua pia US wamebariki kila kilichotokea,US wamemsaliti kiaina Rais wa Afghan na serikali yake ili Taleban wachukue mamlaka.
Nimegundua pia US siku za usoni atakuwa mpole kwa Taleban na wataanza upya mahusiano ya kidiplomasia pamoja na misaada,kwa.kifupi US anabadili mbinu za kupambana na Taleban.
 
Back
Top Bottom