Kwanza nalaumu sana vyombo vya habari vya kiswahili sababu siku zote vimekuwa vya mwisho kwenye kuripoti habari kwa uharaka.
Talebani wako ndani ya ikulu ya Kabul wakikagua kagua.
🎥source: Aljazeera English
jeshi mpaka USA aamue. Hiyo kitu USA kaipika. ninahisi tayari washasaliti hiyo serikali. USA hanaga rafikiInamaana hyo nchi haina jesh
Jaman?
Nimeshangaa sana,jeshi gani legelege hivyo!? Au ni hujuma?Inamaana hyo nchi haina jesh
Jaman?
Itakua hujuma hii alaf lazma kunaNimeshangaa sana,jeshi gani legelege hivyo!? Au ni hujuma?
USA mshenz Sana yanijeshi mpaka USA aamue. Hiyo kitu USA kaipika. ninahisi tayari washasaliti hiyo serikali. USA hanaga rafiki
Afu USA walikuwa wanasema badaa ya siku 90 nchi yote itakamatwa. Kumbe ni dk 0Kuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.
Nakubaliana na hii 100jeshi mpaka USA aamue. Hiyo kitu USA kaipika. ninahisi tayari washasaliti hiyo serikali. USA hanaga rafiki
wahuni sana wamarekani. usishangae ukija sikia sasa wanawapa silaha taliban na wanawapa nchi kama inavyoonekanaAf
Afu USA walikuwa wanasema badaa ya siku 90 nchi yote itakamatwa. Kumbe ni dk 0
lazima, na usishangae ni yeye mwenyewe marekani. ile ondoka yake inatia mashaka sanaItakua hujuma hii alaf lazma kuna
Nchi inawasponso hawa jamaa
Wanakula gahwa na alkasusKwanza nalaumu sana vyombo vya habari vya kiswahili sababu siku zote vimekuwa vya mwisho kwenye kuripoti habari kwa uharaka.
Talebani wako ndani ya ikulu ya Kabul wakikagua kagua.
source: Aljazeera English
Marekani na NATO wamechoka kupigana Vita,hua Ni wachumba Sana kwny Vita vya Muda mrefu.Miaka 20 wavaa makobasi wako wanapigana tu hawapoi,hawaboi.
Vietnam ilionyesha mfano,na Sasa Afghanistan imeandika historia Tena.
Tusubiri utawala wa sharia uanze hapo Afghanistan,wezi Kupigwa mawe,wazinzi kukatwa mikono,wanawake hakuna kutoka nje peke yao,lazima wavae hijabu, takbiir.
Inatakiwa nao wachinjwe hata kidogo ili nao waonje ladha ya kupeleka vurugu kwny nchi za watu.Nimejikuta nawaonea huruma wamarekni waliokwama pale uwanja wa ndege