Rais usihofu, gombea uwenyekiti wa CCM usikabidhiwe.

maramia

JF-Expert Member
Jul 17, 2015
2,030
1,344
Nimepiga hesabu zangu na jawabu ninalopata ni kwamba Rais wangu una kura za wajumbe za kutosha, usikubali vya bwelele eti upewe uwenyekiti wa CCM mezani.

Mbona kujipanga ulikojipanga si haba? Mtaji wako wa kura za wajumbe wa mkutano mkuu mpaka sasa unasoma unit nyingi tu, mzee unajua kucheza JK ni cha mtoto.
a. MaRC 26
b. MaDC 139
c. MaDAS wengi wao ni wajumbe wa mkutano mkuu
d. Wabunge wote wa CCM

Ili mradi utumie mbinu ile ile ya Bunge Maalum la Katiba zipigwe kura za dhahiri za kunyoosha mikono, mbonyeze JK ajaribu kuwatisha kidogo wabunge ndiyo vichwa ngumu kwamba hakuna cha kura za siri hao wengine ni mteremko.
 
utaratibu wa kuunganisha kofia za uongozi wa mwenyekiti na rais wa ccm umekuwepo kwa muda mrefu ila hii hofu ya sasa chanzo chake nini, majipu ya chama kutumbuliwa?wapinzani kuzikwa kisiasa kwa sababu mapovu yalitakiwa yawatoke kwa chama kinachojiita cha kidemokrasia ambacho mtu akijitokeza kugombea nafasi ya juu wazee wanajitokeza na kumzuia au nccr ambacho mwenyekiti amkasimu madaraka yote
 
Back
Top Bottom