Rais umepotoshwa: Polisi hawawezi kushinda jeshi la watu 45 millioni

Mwingereza

JF-Expert Member
Jan 21, 2014
1,110
2,736
Nikiwa kada mkubwa wa CCM, napenda nikwambie wazi kwamba, unatupa wakati mgumu na wananchi. Kumbuka, Katika historia ya dunia, hakuna jeshi serikali au mtawala ambaye ameweza kuwashinda wananchi kutumia mtutu wa bunduki. Vyama vikubwa kama KANU ya Kenya, vimeangushwa na wananchi. Katika Taifa kama Tanzania, yenye raia million 45, ni vigumu kutafakari jinsi polisi wasiofika laki moja waweze kuwadhibiti raia million 45 nchi nzima. Kama wataweza, basi itakuwa ni kwa siku moja tu. Polisi nchini Tanzania hawawezi kuwadhibiti wananchi kwa siku nne mfululizo.

Dalili za sasa zinaonyesha kwamba, wananchi wamechoka. Hawaogopi bunduki tena, na hii ishara mbaya kwetu kama chama, na kwako mbaya zaidi kama rais wa miezi 8 tu

Ikitokea polisi wakadanganyika, kupiga mabomu kwa siku nzima, mabomu yao yataisha siku hiyo hiyo na kesho yake itakuwa ni machafuko. Hawa polisi watavua sare zao na kuingia mtaani ikiwa ndio njia yao ya kusalimika. Ila pia wengine hawatathubutu kuyatumia mabomu wakijua familia zao mitaani hawatakuwa salama. Hata rais mwenyewe ndani ya ikulu hawezi kuwa salama tena, kwa maana kwamba nguvu ya umma utamng’oa madarakani. Ukifika hatua ya kuagiza polisi watumie risasi za moto, bila shaka wewe Amos Makala, Paul Makonda, Mwigulu, IGP na Kamanda Siro mtakuwa wageni wa ICC

Kwa maana hiyo, Rais Magufuli inabidi uwe makini sana, uache tabia za kukurupuka na kuwategemea watu kama Tulia Ackson ambao ndio chanzo cha haya matatizo. Waajiri wako siyo CCM wala polisi, umajiriwa na wananchi. Wananchi hauwawezi. Inaonekana wamefika wamechoka, na usipoangalia, CCM inakufa mikononi mwako, pale polisi watakapowaua raia. Maana ndani ya CCM, viongozi wengi hawakutaki
 
Jamani lets be serious.. hao milioni 45 unaowazungumzia wako wapi? Musitumie vibaya takwimu maana ndani ya hizo 45m yumo Magufuli, Majaliwa, Mwigulu, IGP Mangu na vijana wake nchi nzima; sasa hiyo idadi unayoitaja ni ipi?

Uchaguzi wa mwaka huu pamoja na hekaheka zote za UKAWA, Chadema walipata kura ngapi? Zinafika milioni 45???

Tunaweza kujadili na kutoa angalizo kuepuka maafa kwa namna ingine lamini si kwa hizi fact za kuongezea chumvichumvi .
 
Very Well said.

Hakuna kitu ambacho JPM anajidanganya kupita kiasi kama kuamini kuwa yeye ndiye 'mmiliki' wa vyombo vyote vya dola nchini na wakati wowote atakapojisikia ataweza kuviamuru vyombo hivyo viingie mitaani na kuwashughulikia raia wema wasio na hatia ambao yeye anawaita waleta fyoko fyoko.

Kama ulivyobainisha kuwa historia ya dunia inaonyesha kuwa tokea dunia iumbwe hakujawahi kutokea vyombo vya dola viliwahi kushinda nguvu ya Umma uliojizatiti.

JPM anapaswa ajifunze somo kidogo lililotokea nchini Misri miaka michache tu iliyopita ambapo Mkuu wa nchi aliviagiza vyombo vyake vya dola kuwapondaponda raia wake waliokuwa wakiandamana kwa amani, kilichotokea ni wananchi hao 'kuvikwea' vifaru hivyo vya kijeshi kama sisi tunavyoyapanda mabasi ya mwendokasi!
 
Jamani lets be serious.. hao milioni 45 unaowazungumzia wako wapi? Musitumie vibaya takwimu maana ndani ya hizo 45m yumo Magufuli, Majaliwa, Mwigulu, IGP Mangu na vijana wake nchi nzima; sasa hiyo idadi unayoitaja ni ipi?

Uchaguzi wa mwaka huu pamoja na hekaheka zote za UKAWA, Chadema walipata kura ngapi? Zinafika milioni 45???

Tunaweza kujadili na kutoa angalizo kuepuka maafa kwa namna ingine lamini si kwa hizi fact za kuongezea chumvichumvi .
Hata kama hizo figure zimetiwa chumvi...

Hata kama wataandama watu milioni 1 pekee nchi nzima na Polisiii wakalazimisha kuyazima kwa nguvu maandamano hayo na yakatokea maafa, bado watakaoburuzwa mahakamani ni askari wa vyeo vya chini........

Si mnakumbuka ile kesi ya kuuawa Mwandishi wa Habari Daudi Mwangosi wa kule Iringa, ambapo mahakama ilimhukumu yule askari wa cheo cha chini kwenda jela miaka 15 kwa kosa la kuua, huku Bosi wake Kamu... handaa aliyemuamurru kuua akiendelea kula kuku uraiani?

Kwa hatua tuliyofikia mimi nadhani solution ya kuondoa hii sintofahamu ni nyepesi sanaaa......

Ajitokeze kiongozi mmoja mwenye dhamana kama alivyojitokeza Waziri wa afya Ummi Mwalimu alivyojitokeza hadharani na kueleza kuwa alichotamka JPM kuhusu kuwahimiza waTz wafyatue watoto it was just a joke.....

Kama atajitokeza Msajili wa vyama vya siasa, Jaji Mutungi na kufafanua kuwa alichotamka Mkuu wa nchi kuwa amevipa 'likizo' ya lazima vyama vyote vya siasa vya upinzani hadi mwaka 2020, ilikuwa tu anawatania watani wake wa vyama vya upinzani, basi itakuwa tumeliikoa Taifa kuingia kwenye machafuko.

Lakini JPM akiendelea kung'ang'ania kutumia vyombo vya dola kuzima maandamano ya raia wakati akijua wazi kuwa katazo lake la kuzuia vyama vya siasa vya upinzani hadi mwaka 2020, ni kuvunja waziwazi Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 3 ambayo inasema nchi yetu itaendeshwa kwa mfumo wa vyama vingi na vyama hivyo vitaruhisiwa kufanya shughuli za kisiasa wakati wote, hakika atakuwa ameamua kutumbikiza nchi hii kwenye machafuko....
 
Raisi wetu Tatizo ni MOJA tu, usahaulifu, unakumbuka zaidi idadi ya samaki baharini, mitoni, na mbaya zaidi una idadi hadi ya zamani ambao mabwawa yao haya
chimbwa.
Please niambie, kwa mujibu wa KATIBA, Polisi gani ana mamlaka ya kumpiga Mbowe na Lowassa?
 
Jamani lets be serious.. hao milioni 45 unaowazungumzia wako wapi? Musitumie vibaya takwimu maana ndani ya hizo 45m yumo Magufuli, Majaliwa, Mwigulu, IGP Mangu na vijana wake nchi nzima; sasa hiyo idadi unayoitaja ni ipi?

Uchaguzi wa mwaka huu pamoja na hekaheka zote za UKAWA, Chadema walipata kura ngapi? Zinafika milioni 45???

Tunaweza kujadili na kutoa angalizo kuepuka maafa kwa namna ingine lamini si kwa hizi fact za kuongezea chumvichumvi .
Hata kama ni milion 6 kwa polici laki 2. Hao polic hwawezi dhibit hayo maandamano. Kitu kingine Magu anasahau kuwa hwa polisi wanaishi uraiani tena na familia zao zinajulikana.
 
Nikiwa kada mkubwa wa CCM, napenda nikwambie wazi kwamba, unatupa wakati mgumu na wananchi. Kumbuka, Katika historia ya dunia, hakuna jeshi serikali au mtawala ambaye ameweza kuwashinda wananchi kutumia mtutu wa bunduki. Vyama vikubwa kama KANU ya Kenya, vimeangushwa na wananchi. Katika Taifa kama Tanzania, yenye raia million 45, ni vigumu kutafakari jinsi polisi wasiofika laki moja waweze kuwadhibiti raia million 45 nchi nzima. Kama wataweza, basi itakuwa ni kwa siku moja tu. Polisi nchini Tanzania hawawezi kuwadhibiti wananchi kwa siku nne mfululizo.

Dalili za sasa zinaonyesha kwamba, wananchi wamechoka. Hawaogopi bunduki tena, na hii ishara mbaya kwetu kama chama, na kwako mbaya zaidi kama rais wa miezi 8 tu

Ikitokea polisi wakadanganyika, kupiga mabomu kwa siku nzima, mabomu yao yataisha siku hiyo hiyo na kesho yake itakuwa ni machafuko. Hawa polisi watavua sare zao na kuingia mtaani ikiwa ndio njia yao ya kusalimika. Ila pia wengine hawatathubutu kuyatumia mabomu wakijua familia zao mitaani hawatakuwa salama. Hata rais mwenyewe ndani ya ikulu hawezi kuwa salama tena, kwa maana kwamba nguvu ya umma utamng’oa madarakani. Ukifika hatua ya kuagiza polisi watumie risasi za moto, bila shaka wewe Amos Makala, Paul Makonda, Mwigulu, IGP na Kamanda Siro mtakuwa wageni wa ICC

Kwa maana hiyo, Rais Magufuli inabidi uwe makini sana, uache tabia za kukurupuka na kuwategemea watu kama Tulia Ackson ambao ndio chanzo cha haya matatizo. Waajiri wako siyo CCM wala polisi, umajiriwa na wananchi. Wananchi hauwawezi. Inaonekana wamefika wamechoka, na usipoangalia, CCM inakufa mikononi mwako, pale polisi watakapowaua raia. Maana ndani ya CCM, viongozi wengi hawakutaki
Umekurupuka ww unaeugulia maumivu ya kushikiwa akili na mwenyekiti wako.
N nn maana ya Neno kukutupuka??
Sio mnapiga tu kelele na kushinda humu JF na kupropaganda hafifu
 
Hata kama ni milion 6 kwa polici laki 2. Hao polic hwawezi dhibit hayo maandamano. Kitu kingine Magu anasahau kuwa hwa polisi wanaishi uraiani tena na familia zao zinajulikana.
Siyo tu Polisi wanaishi uraiani, bali pia hao raia wasio na hatia wanaoagizwa na mabosi wao wakawamwagie maji ya kuwashawasha na kuwapiga virungu na risasi za moto, wengine ni wajomba zao, wapwa zao na shemeji zao.......

Hivi hao watawala wetu wandhani hata kama wao Polisi ethics zao za kazi zinawaambia ni lazima watii amri wanayopewa na viongozi wao bila kutakiwa kuhoji uhalali wa amri hiyo.......

Lakini Polisi nao wanajua kuwa lazima watumie ile principle ya za kuambiwa changanya na za kwako ili yasije kuwakuta yale yaliyomkuta yule askari wa FFU wa kule Iringa aliyehukumiwa kwenda jela miaka 15 kwa kumuua mwandishi wa Habari Daudi Mwangosi wakati waliomtuma kutekeleza mauaji hayo wakiendelea kula kuku uraiani..........
 
Polisi hawana haja ya kuhangaika na watu wote, watakachofanya Ni kuonyesha mfano kwa wa wachache watakaoweza kuwafikia na baada ya hapo patakua na kamatakamata nyingi Nchi nzima kwa wale walioongoza maandamano.
Na mwisho jambo hili litaisha bila kuweza kuilazimisha serekali kubadili msimamo. Zoezi lenyewe halitapata mwamko mkubwa kuthibitisha kua Rais ameeleweka!
 
Nikiwa kada mkubwa wa CCM, napenda nikwambie wazi kwamba, unatupa wakati mgumu na wananchi. Kumbuka, Katika historia ya dunia, hakuna jeshi serikali au mtawala ambaye ameweza kuwashinda wananchi kutumia mtutu wa bunduki. Vyama vikubwa kama KANU ya Kenya, vimeangushwa na wananchi. Katika Taifa kama Tanzania, yenye raia million 45, ni vigumu kutafakari jinsi polisi wasiofika laki moja waweze kuwadhibiti raia million 45 nchi nzima. Kama wataweza, basi itakuwa ni kwa siku moja tu. Polisi nchini Tanzania hawawezi kuwadhibiti wananchi kwa siku nne mfululizo.

Dalili za sasa zinaonyesha kwamba, wananchi wamechoka. Hawaogopi bunduki tena, na hii ishara mbaya kwetu kama chama, na kwako mbaya zaidi kama rais wa miezi 8 tu

Ikitokea polisi wakadanganyika, kupiga mabomu kwa siku nzima, mabomu yao yataisha siku hiyo hiyo na kesho yake itakuwa ni machafuko. Hawa polisi watavua sare zao na kuingia mtaani ikiwa ndio njia yao ya kusalimika. Ila pia wengine hawatathubutu kuyatumia mabomu wakijua familia zao mitaani hawatakuwa salama. Hata rais mwenyewe ndani ya ikulu hawezi kuwa salama tena, kwa maana kwamba nguvu ya umma utamng’oa madarakani. Ukifika hatua ya kuagiza polisi watumie risasi za moto, bila shaka wewe Amos Makala, Paul Makonda, Mwigulu, IGP na Kamanda Siro mtakuwa wageni wa ICC

Kwa maana hiyo, Rais Magufuli inabidi uwe makini sana, uache tabia za kukurupuka na kuwategemea watu kama Tulia Ackson ambao ndio chanzo cha haya matatizo. Waajiri wako siyo CCM wala polisi, umajiriwa na wananchi. Wananchi hauwawezi. Inaonekana wamefika wamechoka, na usipoangalia, CCM inakufa mikononi mwako, pale polisi watakapowaua raia. Maana ndani ya CCM, viongozi wengi hawakutaki
Yaani mmeanza kelele wenyewe mnataka kupigwa viwembe mnarukaruka wenyewe, Magufuli alishasema kajitoa kwa ajili ya maendeleo ya nchi hii sasa kama mnataka kumkwamisha yupo tayari kwa lolote, wewe na familia yako nendeni muandamane muone mziki wake
 
Nikiwa kada mkubwa wa CCM, napenda nikwambie wazi kwamba, unatupa wakati mgumu na wananchi. Kumbuka, Katika historia ya dunia, hakuna jeshi serikali au mtawala ambaye ameweza kuwashinda wananchi kutumia mtutu wa bunduki. Vyama vikubwa kama KANU ya Kenya, vimeangushwa na wananchi. Katika Taifa kama Tanzania, yenye raia million 45, ni vigumu kutafakari jinsi polisi wasiofika laki moja waweze kuwadhibiti raia million 45 nchi nzima. Kama wataweza, basi itakuwa ni kwa siku moja tu. Polisi nchini Tanzania hawawezi kuwadhibiti wananchi kwa siku nne mfululizo.

Dalili za sasa zinaonyesha kwamba, wananchi wamechoka. Hawaogopi bunduki tena, na hii ishara mbaya kwetu kama chama, na kwako mbaya zaidi kama rais wa miezi 8 tu

Ikitokea polisi wakadanganyika, kupiga mabomu kwa siku nzima, mabomu yao yataisha siku hiyo hiyo na kesho yake itakuwa ni machafuko. Hawa polisi watavua sare zao na kuingia mtaani ikiwa ndio njia yao ya kusalimika. Ila pia wengine hawatathubutu kuyatumia mabomu wakijua familia zao mitaani hawatakuwa salama. Hata rais mwenyewe ndani ya ikulu hawezi kuwa salama tena, kwa maana kwamba nguvu ya umma utamng’oa madarakani. Ukifika hatua ya kuagiza polisi watumie risasi za moto, bila shaka wewe Amos Makala, Paul Makonda, Mwigulu, IGP na Kamanda Siro mtakuwa wageni wa ICC

Kwa maana hiyo, Rais Magufuli inabidi uwe makini sana, uache tabia za kukurupuka na kuwategemea watu kama Tulia Ackson ambao ndio chanzo cha haya matatizo. Waajiri wako siyo CCM wala polisi, umajiriwa na wananchi. Wananchi hauwawezi. Inaonekana wamefika wamechoka, na usipoangalia, CCM inakufa mikononi mwako, pale polisi watakapowaua raia. Maana ndani ya CCM, viongozi wengi hawakutaki
Kuna mahali nawe umepotoshwa...hilo
Jeshi linalompinga Magufuli sio la watu milioni 45.
Hapo umepotosha wazi wazi.
 
Hata kama ni milion 6 kwa polici laki 2. Hao polic hwawezi dhibit hayo maandamano. Kitu kingine Magu anasahau kuwa hwa polisi wanaishi uraiani tena na familia zao zinajulikana.
Una kumbukumbu fupi kama nukta, hili ndo litakuwa zoezi la kwanza kwa polisi?? Sio ishu ya one on one, fungua upeo wako mkuu.
 
Jamani lets be serious.. hao milioni 45 unaowazungumzia wako wapi? Musitumie vibaya takwimu maana ndani ya hizo 45m yumo Magufuli, Majaliwa, Mwigulu, IGP Mangu na vijana wake nchi nzima; sasa hiyo idadi unayoitaja ni ipi?

Uchaguzi wa mwaka huu pamoja na hekaheka zote za UKAWA, Chadema walipata kura ngapi? Zinafika milioni 45???

Tunaweza kujadili na kutoa angalizo kuepuka maafa kwa namna ingine lamini si kwa hizi fact za kuongezea chumvichumvi .
Huyu jamaa anaweka chumvi .....anapelekwa na mahaba ya kisiasa badala ya kufuata dhana yake halisi ambayo ni nzuri.
 
Raisi wetu Tatizo ni MOJA tu, usahaulifu, unakumbuka zaidi idadi ya samaki baharini, mitoni, na mbaya zaidi una idadi hadi ya zamani ambao mabwawa yao haya
chimbwa.
Please niambie, kwa mujibu wa KATIBA, Polisi gani ana mamlaka ya kumpiga Mbowe na Lowassa?
Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania polisi wapo kwa ajili ya kulinda usalama wa nchi na mali zake kwa hiyo sio Mbowe na Lowasa hata wewe utashughulikiwa.
 
Back
Top Bottom